KIKOSI cha Taifa Stars Maboresho kitacheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Rwanda itakayofanyika Januari 22 mwaka huu kwenye Uwanja wa CCM Kirumba…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Mada Maugo na Kalama Nyilawila Kuzipiga Machi 8
MABONDIA wenye upinzania mkali Mabondia Mada Maugo pamoja na Kalama Nyilawila wanatarajia kupanda jukwaani kuzipiga ili kumaliza ubishi. Pambano hilo linatarajia kufanyika Machi 8, 2015…
Continue Reading....Ujio wa Bondia Kimweri Fursa kwa Mabondoa Tanzania
Na Mwandishi Wetu NDONDI ni miongoni mwa mchezo maarufu nchini Tanzania na duniani kwa ujumla. Wapo wanamichezo waliojipatia heshima kubwa duniani kutokana na kufanikiwa kupitia…
Continue Reading....Mwanza Queens Yaichapa Mara Queens 6-1 Women Taifa Cup
Kikosi cha Timu ya Mara (jezi Nyekundu) wakisalimiana na Marefa wa mchezo huo tayari kwa Mtanange wa Women Taifa Cup kuzinduliwa leo jijini Mwanza kwa…
Continue Reading....TFF Yataja Timu Zitakazo Shiriki Mapinduzi
TIMU za Azam, Mtibwa Sugar, Simba na Yanga zitashiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi inayofanyika kisiwani Zanzibar kuanzia Januari 1 hadi 13 mwakani. Shirikisho la…
Continue Reading....Yanga Yagawanyika, Manji Aingia Mgogoro
BAADA ya kumtimua kocha Mkuu wa timu yake na baada ya kubwaga chini sekretariati ya klabu hiyo, Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Sports Club…
Continue Reading....