Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 169

Category: Michezo na Burudani

Ligi Daraja La Kwanza Kutimua Vumbi Mwishoni Wiki

Posted on: January 8, 2016January 8, 2016 - Yohana Chance
Ligi Daraja La Kwanza Kutimua Vumbi Mwishoni Wiki

Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara (StarTimes League) inaendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini ikiwa katika mzunguko wa kumi, huku…

Continue Reading....

Malinzi Awatumia Salamu Za Rambirambi ZFA

Posted on: January 8, 2016 - Yohana Chance
Malinzi Awatumia Salamu Za Rambirambi ZFA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa chama cha soka cha Zanzibar (ZFA) kufuatia kifo cha…

Continue Reading....

Sudan Waandaaji Michuano Ya CECAFA Mwaka Huu

Posted on: January 8, 2016 - Yohana Chance
Sudan Waandaaji Michuano Ya CECAFA Mwaka Huu

Nchi ya Sudan ndiyo itakayokuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Cecafa mwaka huu, baada ya Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati kutangaza. Taifa…

Continue Reading....

Yanga Yaifuata Simba SC Nusu Fainali Mapinduzi Cup

Posted on: January 8, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yaifuata Simba SC Nusu Fainali Mapinduzi Cup

Mabingwa wa Tanzania Bara Timu ya Yanga, imefanikiwa kutinga hatua ya Nusu fainali kufuatia ushindi wa Bao 2-1 dhidi ya Mtibwa mabao ambayo yamefungwa na…

Continue Reading....

Kocha Mkuu wa Twiga Stars Amwaga Manyanga

Posted on: January 8, 2016 - Yohana Chance
Kocha Mkuu wa Twiga Stars Amwaga Manyanga

Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake ya Mpira wa Miguu (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amejiuzulu nafasi hiyo baada ya kuomba kwa uongozi wa…

Continue Reading....

Pierre-Emerick Afuata Nyayo Za Samatta naye Abeba Tuzo

Posted on: January 8, 2016January 8, 2016 - Yohana Chance
Pierre-Emerick Afuata Nyayo Za Samatta naye Abeba Tuzo

Baada ya Samatta Kutwaa Tuzo ya mwanasoka bora Barani Afrika kwa wachezaji wa Ndani, tuzo ya mwanasoka bora barani Afrika wanaocheza nje ya Bara la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari