Baada ya Katibu Mkuu wa Klabu ya Yanga Dr. Jonas Tiboroha kujiuzulu, yaliibuka mambo mengi na mijadala mingi ikihoji ni kwanini mtendaji huyo mkuu wa…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Patachimbika Leo Ndani ya Dimba la Emirate, Usikose Arsenal vs Chelsea
Baada ya kushuhudia mitanange kadhaa siku ya jana ya ligi kuu ya Uingereza kipute hicho kinaendelea tena leo katika uwanja wa Emirate unaomilikiwa na Klabu…
Continue Reading....Simba Sc Yashinda Morogoro, Leo Zamu ya Yanga Mwanza
Timu ya Wekundu wa Msimbazi Simba Sc wameunguruma Mkoani Morogoro kwa kuitungua timu ya Burkina Faso kwa bao 3-0 kwenye mchezo wa Azam Sports Federation…
Continue Reading....Waandaaji wa Tuzo ya Oscar Wakumbwa na Balaa
Waandalizi wa Tuzo za Oscar wameahidi kuwa wataimarisha juhudi zao za kuongeza wanachama zaidi wanawake na watu wa kutoka katika jamii za watu wachache kama…
Continue Reading....Liverpool Yatokwa Jasho Lakini Yaibuka na Ushindi wa Mabao 5
Adam Lallana alifunga bao la dakika za lala salama na kuiwezesha Liverpool kuishinda Norwich City 5-4 katika mechi iliojaa mashambulizi msimu huu. Robert Firmino aliiweka…
Continue Reading....Mashabiki Wa Manchester United Wawazomea Wachezaji Baada ya Kichapo cha Southampton
Klabu ya Manchester United imeshindwa kutamba kwenye uwanja wake wa nyumbani baada ya kujikuta ikigaragazwa kwa bao 1-0 dhidi ya Southampton kwenye mchezo wa ligi…
Continue Reading....