Wimbo wa “Na Gode” wa mwimbaji maarufu kutoka Nigeria Yemi Alade umekua ukitamba sana hapa nchini, na mwimbaji huyo ametoa video ya wimbo huo ambayo…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Chama cha Karate Kilimanjaro Chaipigia Magoti Serikali
Vero Ignatus – Moshi Kilimanjaro CHAMA cha Karate Mkoa wa Kilimanjaro wanaiomba serikali kutupia macho kwenye mchezo huo kwani imekuwa ikiwasahau ukizingatia mchezo huo ni michezo…
Continue Reading....Huyu Ndiye Mshindi wa Shindano la Bongo Style…!
Mshindi wa Ubunifu mitindo Jocktan Cosmas Maluli A.k.a Makeke(aliyeshika cheti) akiwa katika picha ya pamoja na waratibu wa shindano hilo kuanzia kushoto ni Zamda George,…
Continue Reading....Kocha Wa Arsenal, Asene Wenger Adai Chelsea Ilibebwa
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya England Chelsea walipata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Arsenal wakiwa ugenini. Arsenal walicheza mchezo huu wakiwa pungufu baada…
Continue Reading....Baraka Deusdedit Katibu Mpya Yanga, Frank Chacha Apigwa Chini
Uongozi wa klabu ya Yanga umefanya mabadiliko ya nafasi za uongozi kwenye klabu hiyo mara baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Yanga kubwaga manyanga. Mwenyekiti…
Continue Reading....Rwanda Yaambulia Kichapo Cha Kwanza Michuano ya CHAN
Mashindano ya kuwania kombe la Afrika kwa wachezaji wa ligi za nyumbani CHAN yaliendelea kutifua vumbi nchini Rwanda, wenyeji wakichapwa 4-1 na Morocco jana Jumapili.…
Continue Reading....