Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 150

Category: Michezo na Burudani

Timu ya Azam Yatimukia Zambia, Michizo yake Yapigwa Kalenda

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Timu ya Azam Yatimukia Zambia, Michizo yake Yapigwa Kalenda

MECHI mbili za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara za Azam FC zimefutwa na zitapangiwa tarehe nyingine ya kufanyika. Mechi hizo ni dhidi ya Prisons…

Continue Reading....

Bosi wa TP Mazembe Akubali Kumwachia Samatta

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Bosi wa TP Mazembe Akubali Kumwachia Samatta

Moise Katumbi Chapwe, Rais wa klabu ya TP Mazembe ya DRC amekubali mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta ajiunge na KRC Genk ya…

Continue Reading....

Pierre Aubameyanga Amtolea Uvivu Yaya Toure

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Pierre Aubameyanga Amtolea Uvivu Yaya Toure

Nyota wa Afrika Pierre Emerick Aubameyang amesema kuwa alihisi uchungu baada ya Yaya Toure kusema kwamba ‘sio heshima’ kwa yeye kutunukiwa tuzo ya mchezaji bora…

Continue Reading....

Rihhana Aiachia Albamu yake Mpya ya Nane ya ANTI

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Rihhana Aiachia Albamu yake Mpya ya Nane ya ANTI

Baada ya miaka minne tangu nyota wa muziki Rihhana atangaze kwamba anaandaa albamu yake mpya. Hata hivyo harakati hizo zilikabiliwa na changomoto chungu nzima na…

Continue Reading....

Guinea, Cameroon Zatinga Mbele Michuano ya CHAN

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
Guinea, Cameroon Zatinga Mbele Michuano ya CHAN

Timu ya Super Eagles ya Nigeria imeondolewa kutoka kwenye mashindano ya kuwania kombe la taifa bingwa la Afrika CHAN Kwa wachezaji wanaoshiriki katika ligi za…

Continue Reading....

TFF Waandaa Kozi ya Ukocha Kwa Wanawake

Posted on: January 27, 2016 - Yohana Chance
TFF Waandaa Kozi ya Ukocha Kwa Wanawake

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Mwesigwa Selestine jana amefungua kozi ya ngazi ya juu ya ukocha kwa wanawake (High Level…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari