Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 137

Category: Michezo na Burudani

Welbeck Alejea Uwanjani na Kuipaisha Arsenal

Posted on: February 14, 2016February 14, 2016 - Yohana Chance
Welbeck Alejea Uwanjani na Kuipaisha Arsenal

Danni Welbeck ambaye alikuwa anacheza mechi yake ya kwanza tangu Aprili mwaka uliopita ameifungia Arsenal bao la pili na la ushindi dhidi ya vinara wa…

Continue Reading....

Waziri Nape Mgeni Rasmi Kilimanjaro Marathoni

Posted on: February 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Kilimanjaro Marathon
Waziri Nape Mgeni Rasmi Kilimanjaro Marathoni

Na Frank Shija, WHUSM WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mashindano ya Kilimanjaro Marathoni yatakayofanyika tarehe…

Continue Reading....

Hofu Yatanda Barcelona Baada ya Messi Kukutwa na Tatizo la Figo

Posted on: February 9, 2016 - Yohana Chance
Hofu Yatanda Barcelona Baada ya Messi Kukutwa na Tatizo la Figo

Mshambuliaji wa kilabu ya Barcelona Lionel Messi alikosa mazoezi siku ya jana Jumatatu ili kupimwa figo yake. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina alikosa kucheza…

Continue Reading....

Zouma Hataonekana Dimbani tena Hadi Msimu Ujao

Posted on: February 9, 2016 - Yohana Chance
Zouma Hataonekana Dimbani tena Hadi Msimu Ujao

Beki wa klabu ya Chelsea Kurt Zouma atakua nje ya uwanja kwa miezi sita baada ya kuumia goti kwenye mchezo dhidi ya Manchester United. Zouma,…

Continue Reading....

Kamusoko Ampiku Tambwe, Baada ya Kutangazwa Kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi

Posted on: February 9, 2016 - Yohana Chance
Kamusoko Ampiku Tambwe, Baada ya Kutangazwa Kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi

Mchezaji Thaban Kamusoko amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa mwezi Disemba, 2015 baada ya kumshinda mchezaji mwenzake wa Yanga (Amissi Tambwe).…

Continue Reading....

Yanga Kutimuka Kesho Kwenda Kuivaa Cercle De Joachim

Posted on: February 9, 2016 - Yohana Chance
Yanga Kutimuka Kesho Kwenda Kuivaa Cercle De Joachim

Kikosi cha Yanga SC kitaanza safari ya kuelekea Mauritius kesho (Jumatano) alfajiri kwenda kukipiga mchezo wa awali wa klabu bingwa Afrika dhidi ya Cercle De…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari