FIFA iliwafungia Michel Platini na Sepp Blatter kujihusisha na soka baada ya wote wawili kukutwa na kosa la kujihusisha na mambo ya rushwa yenye thamani…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Mahakama Nchini Brazil Yamkaba Neymar
Mahakama moja ya Brazil imepiga tanji mali ya mchezaji nyota wa Barcelona, Neymar. Mahakama hiyo iliopo Sao Paulo ilitangaza kuwa inatoa waranti ya kuzuia mali…
Continue Reading....TFF Yatangaza Viingilio vya Mchezo wa Watani wa Jadi
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) jana limetangaza viingilio vya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya watani wa jadi Simba SC na…
Continue Reading....Mwanamuziki ‘John Walker’ Afariki Dunia…!
AKIZUNGUMZA kwa njia ya simu na mwandishi wa habari hizi kaka wa marehemu Omari Milay, alisema walipigiwa simu alfajiri ya leo na kujulishwa kuwa ndugu…
Continue Reading....Manchester United, Liverpool na Tottenham Ndani ya EUROPA Ligi
Raundi ya Mtoano ya Timu 32 ya UEFA EUROPA LIGI itachezwa Wiki hii kwa Mechi 16 na England ina Timu 3 ambazo ni Manchester United,…
Continue Reading....TFF Wamkomalia Mwinyi Kazimoto Kumpiga Mwandishi wa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa ya kupigwa kwa mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la Mwanaspoti nchini, Mwanahiba…
Continue Reading....