KEPTENI wa Manchester United na England Wayne Rooney atakuwa nje kwa takriban Wiki 6 akiuguza Goti lake. Inasemekana Rooney aliumia Wikiendi iliyopita Man United walipofungwa…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Chelsea Kuivaa Man City Kesho Kombe la FA Emirates, Arsenal Leo
WIKIENDI hii Ligi Kuu England haina Mechi na badala yake zipo Mechi za Raundi ya 5 za EMIRATES FA CUP. FA CUP, Kombe kongwe Duniani…
Continue Reading....Arusha FC, Alliance Kusaka Pointi Tatu Ligi daraja la Pili
Ligi Daraja la Pili (SDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika mzunguko wa lala salama (raundi ya 9), kwa timu zote 24 kushuka dimbani pointi 3…
Continue Reading....Tiketi za Kuangalia Mchezo wa Watani wa Jadi zimeanza Kuuzwa Leo
Tiketi za mchezo wa watani wa jadi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC Jumamosi, Februari 20,…
Continue Reading....Hii Ndio Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki John Wolker Hapa Duniani
Habari Kutoka Mkoani Tanga ambapo ndipo Marehemu John Woka, Msanii wa longtime Tanzania amezikwa. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki pia walijumuika kutoa heshima ya…
Continue Reading....Refarii Apigwa Risasi Hadi Kufa kwa Kumwonesha Kadi Nyekundu Mchezaji
Refarii mmoja nchini Argentina amepigwa risasi na kuuawa na mchezaji aliyemuonesha kadi nyekundu uwanjani katika mechi ya daraja la pili. Refarii huyo Cesar Flores alikuwa…
Continue Reading....