Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 130

Category: Michezo na Burudani

Pigo Manchester United Wayne Rooney Nje Wiki Sita

Posted on: February 20, 2016February 20, 2016 - Yohana Chance
Pigo Manchester United Wayne Rooney Nje Wiki Sita

KEPTENI wa Manchester United na England Wayne Rooney atakuwa nje kwa takriban Wiki 6 akiuguza Goti lake. Inasemekana Rooney aliumia Wikiendi iliyopita Man United walipofungwa…

Continue Reading....

Chelsea Kuivaa Man City Kesho Kombe la FA Emirates, Arsenal Leo

Posted on: February 20, 2016February 20, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Kuivaa Man City  Kesho Kombe la FA Emirates, Arsenal Leo

WIKIENDI hii Ligi Kuu England haina Mechi na badala yake zipo Mechi za Raundi ya 5 za EMIRATES FA CUP. FA CUP, Kombe kongwe Duniani…

Continue Reading....

Arusha FC, Alliance Kusaka Pointi Tatu Ligi daraja la Pili

Posted on: February 20, 2016 - Yohana Chance
Arusha FC, Alliance Kusaka Pointi Tatu Ligi daraja la Pili

Ligi Daraja la Pili (SDL) inatarajiwa kuendelea wikiendi hii katika mzunguko wa lala salama (raundi ya 9), kwa timu zote 24 kushuka dimbani pointi 3…

Continue Reading....

Tiketi za Kuangalia Mchezo wa Watani wa Jadi zimeanza Kuuzwa Leo

Posted on: February 19, 2016February 19, 2016 - Yohana Chance
Tiketi za Kuangalia Mchezo wa Watani wa Jadi zimeanza Kuuzwa Leo

Tiketi za mchezo wa watani wa jadi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania (VPL) kati ya Yanga SC dhidi ya Simba SC Jumamosi, Februari 20,…

Continue Reading....

Hii Ndio Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki John Wolker Hapa Duniani

Posted on: February 19, 2016February 19, 2016 - Yohana Chance
Hii Ndio Safari ya Mwisho ya Mwanamuziki John Wolker Hapa Duniani

Habari Kutoka Mkoani Tanga ambapo ndipo Marehemu John Woka, Msanii wa longtime Tanzania amezikwa. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki pia walijumuika kutoa heshima ya…

Continue Reading....

Refarii Apigwa Risasi Hadi Kufa kwa Kumwonesha Kadi Nyekundu Mchezaji

Posted on: February 19, 2016February 20, 2016 - Yohana Chance
Refarii Apigwa Risasi Hadi Kufa kwa Kumwonesha Kadi Nyekundu Mchezaji

Refarii mmoja nchini Argentina amepigwa risasi na kuuawa na mchezaji aliyemuonesha kadi nyekundu uwanjani katika mechi ya daraja la pili. Refarii huyo Cesar Flores alikuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari