Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 123

Category: Michezo na Burudani

Infantino ni Rais Mpya wa FIFA Akimrith Blatter Kwa Kupata Kura Nyingi

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Infantino ni Rais Mpya wa FIFA Akimrith Blatter Kwa Kupata Kura Nyingi

Raia wa Switzerland Gianni Infantino amechukua mahala pake Sepp Blatter kama rais wa shirikisho la soka duniani Fifa. katibu huyo mkuu wa Fifa alipata kura…

Continue Reading....

Mwigizaji Tony Burton Afariki Dunia Kifo chake ni Utata Mtupu

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Mwigizaji Tony Burton Afariki Dunia Kifo chake ni Utata Mtupu

Tony Burton aliyeshiriki katika filamu sita za Rocky dhidi ya Sylvester Stallone amefariki akiwa na umri wa miaka 78. Kiini cha kifo chake bado hakijulikani…

Continue Reading....

Ratiba Ligi Kuu Uingereza Arsenal na Manchester United Jumapili Hii

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Ratiba Ligi Kuu Uingereza Arsenal na Manchester United Jumapili Hii

Ligi kuu ya Soka la England inatarajia kuendelea tena Wikiendi hii baada ya kupisha michuano ya FA CUP ambapo leo Jumamosi kutakuwa na michezo sita.…

Continue Reading....

Van Gaal Apania Kuisambaratisha Liverpool EUROPA Ligi

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Van Gaal Apania Kuisambaratisha Liverpool EUROPA Ligi

Manchester United watakutana na mahasimu wao wa jadi Liverpool katika hatua ya 16 bora katika Europa Ligi. Tottenham wamepewa miamba wa ligi y Ujerumani Borussia…

Continue Reading....

Sanjay Dutt Asamehewa Kifungo cha Miaka Mitano Jela

Posted on: February 27, 2016February 27, 2016 - Yohana Chance
Sanjay Dutt Asamehewa Kifungo cha Miaka Mitano Jela

Nyota wa filamu za Bollywood Sanjay Dutt ameachiliwa kutoka jela katika mji wa magharibi wa Pune nchini India. Dutt mwenye umri wa miaka 56 alihukumiwa…

Continue Reading....

Mmoja Ajiondoa Uchaguzi Mkuu FIFA

Posted on: February 26, 2016 - Yohana Chance
Mmoja Ajiondoa Uchaguzi Mkuu FIFA

Mgombea wa urais wa Fifa kutoka Afrika Tokyo Sexwale kutoka Afrika Kusini amejiondoa kutoka kwenye uchaguzi wa kuchagua mrithi wa Sepp Blatter. Bw Sexwale, akihutubu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari