Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 113

Category: Michezo na Burudani

Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yatupwa nje Michuano ya UEFA Baada ya Kuchapwa na PSG

Klabu ya PSG imezima ndoto za Chelsea kusonga mbele kwenye michuano ya mabingwa Ulaya kwa mara nyingine baada ya Zlatan Ibrahimovich kuifungia bao la ushindi…

Continue Reading....

Yanga Yakwea Pipa Kuelekea Rwanda Kuikabili APR Ligi ya Mabingwa

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yakwea Pipa Kuelekea Rwanda Kuikabili APR Ligi ya Mabingwa

Na; binzubeiry.co.tz YANGA SC inapanda ndege leo kwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza, Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi…

Continue Reading....

Simba Kushuka Dimbani Leo, Kagera Sugar Wabaniwa na Prison

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Simba Kushuka Dimbani Leo, Kagera Sugar Wabaniwa na Prison

BAO pekee la mshambuliaji Ally Ahmed ‘Shiboli’ jana limeipa ushindi wa 1-0 Coastal Union dhidi ya ndugu zao, Mgambo JKT katika mchezo wa Ligi Kuu…

Continue Reading....

Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Mohamed Mkopi wa Prison Mchezaji Bora wa Mwezi Apewa Milioni Moja

Mshambuliaji Mohamed Mkopi wa timu ya Tanzania Prisons amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Februari kwa Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu wa 2015/2015. Mkopi katika…

Continue Reading....

Mkutano Mkuu wa TFF Kufanyika Tanga Kwa Siku Mbili

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Mkutano Mkuu wa TFF Kufanyika Tanga Kwa Siku Mbili

Mkutano Mkuu wa mwaka wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) uliokuwa ufanyike mwezi Disemba mwaka jana sasa utafanyika wikiendi hii Jumamosi na Jumapili…

Continue Reading....

Watanzania Wahimizwa Kuthamini Miundombinu ya Michezo

Posted on: March 8, 2016March 8, 2016 - Yohana Chance
Watanzania Wahimizwa Kuthamini Miundombinu ya Michezo

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Annastazia James Wambura akisalimiana na Meneja wa Uwanja wa Taifa Rish Urio (kulia) walipokutana katika ziara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari