CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekubali kumsafirisha kwa ndege Mwanamuziki Chipukizi Richard Stanford maarufu kwa jina la Rich4D, alietembea kwa miguu kutoka Jijini Mwanza hadi Jijini Dar…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
TFF Yamaliza Mkutano Wake Mkuu, Kilichobaki Matekelezo
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limefanya Mkutano Mkuu wa Mwaka katika Ukumbi wa Hoteli ya Regal Naivera jijini Tanga ambapo mgeni Rasmi alikua…
Continue Reading....Mkoa Tanga Wapata Kituo Cha Kukuzia Michezo
Mkuu wa Mkoa Tanga, Mwantumu Mahiza ameweka jiwe la msingi katika eneo la kituo cha michezo cha kukuzia vipaji lilipo eneo la Mikanjuni jijini Tanga.…
Continue Reading....Arsenal Yavuliwa Ubingwa FA Kwa Kichapo Kutoka kwa Watford
Michuano ya FA iliendelea tena jana kwa mabingwa wake Arsenal kuvuliwa ubingwa baada ya kuchapwa na Watford kwa mabao 2-1. Mabao ya Watford yalifungwa na…
Continue Reading....Zlatan Apiga Bao Nne Mwenyewe PSG Ikipiga Mtu Tisa
Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic amefanya ameiwezesha timu yake ya PSG kupata ushindi wa bao 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1…
Continue Reading....Simba Yaendelea Kung’ang’ania Kileleni Ligi Kuu
Klabu ya Simba bado imeendelea kutamba kwenye ligi ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuinyamazisha Tanzania Prisons ya Mbeya kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa…
Continue Reading....