Leicester City wamepanua wigo wa uongozi wao kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi dhidi ya Newcastle. Lecester walilaza Newcastle, waliokuwa wakicheza…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Zlatan Kutimukia Marekani Akifuata Njia za Kina Henry na Beckham
Mshambuliaji matata kutoka Sweden Zlatan Ibrahimovic amesema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwake kuondoka Paris St-Germain majira ya joto yajayo. Hii ni baada yake kuwasaidia kutwaa…
Continue Reading....Wenger Awashutumu Mashabiki Wanaotaka Aondoke
Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema mjadala unaotokea kila mara kuhusu hatima yake katika klabu hiyo “umeanza kuwa upuuzi”. Mfaransa huyo alikuwa akizungumza baada ya…
Continue Reading....FIFA Yatembeza Rungu kwa Maafisa wa Soka Afrika ya Kusini
Shirikisho la soka duniani FIFA limewapiga marufuku maafisa 3 wa shirikisho la soka la Afrika Kusini kwa tuhuma za kupanga mechi. Maafisa hao watatu wakiongozwa…
Continue Reading....Ajibu Aendelea Kung’alisha Nyota Yake Msimbazi
Ikiwa ni tunzo ya 4 tangu kuanza kwa zoezi la kumchagua mchezaji bora wa mwezi ambapo zoezi hili lilianzishwa mwezi Septemba, 2015 likiwa na dhumuni…
Continue Reading....Kivumbi cha kutinga robo fainali Ligi ya Mabingwa Kuendelea Leo
Nafasi nne za mwisho za michuano ya robo fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya – UEFA Champions League zitajulikana leo Jumanne na kesho Jumatano…
Continue Reading....