Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 108

Category: Michezo na Burudani

Huu Mziki wa Leicester City Hakuna wa Kuuzima EPL, Wavunja Rekodi ya Benitez

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Huu Mziki wa Leicester City Hakuna wa Kuuzima EPL, Wavunja Rekodi ya Benitez

Leicester City wamepanua wigo wa uongozi wao kileleni mwa Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi dhidi ya Newcastle. Lecester walilaza Newcastle, waliokuwa wakicheza…

Continue Reading....

Zlatan Kutimukia Marekani Akifuata Njia za Kina Henry na Beckham

Posted on: March 15, 2016March 15, 2016 - Yohana Chance
Zlatan Kutimukia Marekani Akifuata Njia za Kina Henry na Beckham

Mshambuliaji matata kutoka Sweden Zlatan Ibrahimovic amesema kwamba kuna uwezekano mkubwa kwake kuondoka Paris St-Germain majira ya joto yajayo. Hii ni baada yake kuwasaidia kutwaa…

Continue Reading....

Wenger Awashutumu Mashabiki Wanaotaka Aondoke

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Wenger Awashutumu Mashabiki Wanaotaka Aondoke

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger amesema mjadala unaotokea kila mara kuhusu hatima yake katika klabu hiyo “umeanza kuwa upuuzi”. Mfaransa huyo alikuwa akizungumza baada ya…

Continue Reading....

FIFA Yatembeza Rungu kwa Maafisa wa Soka Afrika ya Kusini

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
FIFA Yatembeza Rungu kwa Maafisa wa Soka Afrika ya Kusini

Shirikisho la soka duniani FIFA limewapiga marufuku maafisa 3 wa shirikisho la soka la Afrika Kusini kwa tuhuma za kupanga mechi. Maafisa hao watatu wakiongozwa…

Continue Reading....

Ajibu Aendelea Kung’alisha Nyota Yake Msimbazi

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Ajibu Aendelea Kung’alisha Nyota Yake Msimbazi

Ikiwa ni tunzo ya 4 tangu kuanza kwa zoezi la kumchagua mchezaji bora wa mwezi ambapo zoezi hili lilianzishwa mwezi Septemba, 2015 likiwa na dhumuni…

Continue Reading....

Kivumbi cha kutinga robo fainali Ligi ya Mabingwa Kuendelea Leo

Posted on: March 15, 2016 - Yohana Chance
Kivumbi cha kutinga robo fainali Ligi ya Mabingwa Kuendelea Leo

Nafasi nne za mwisho za michuano ya robo fainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya – UEFA Champions League zitajulikana leo Jumanne na kesho Jumatano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari