Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Michezo na Burudani
  • Page 106

Category: Michezo na Burudani

Uongozi wa Simba Wamdondoshea Isihaka Kombola

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Uongozi wa Simba Wamdondoshea Isihaka Kombola

Klabu ya Simba imemvua umakamu nahodha beki wake wa kati Hassan Isihaka kutokana na kitendo chake cha utovu wa nidhamu kwa kocha wa klabu hiyo…

Continue Reading....

Usingizi Wamponza Nicklas Bendtner Apigwa Faini

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Usingizi Wamponza Nicklas Bendtner Apigwa Faini

Mshambuliaji wa Wolfsburg Nicklas Bendtner amepigwa faini baada ya kuchelewa kufika mazoezini kwa sababu ya usingizi. Bendtner, ambaye aliwahi kuichezea Arsenal ya Uingereza, alichelewa kwa…

Continue Reading....

Azam Fc Mdogo Mdogo Kulifuta Kombe la Ligi Kuu Tanzania Bara

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Azam Fc Mdogo Mdogo Kulifuta Kombe la Ligi Kuu Tanzania Bara

Azam FC imeutumia vyema mchezo wake wa kiporo kwa kuichapa Stand United ya Shinyanga kwa bao 1-0 kwenye mchezo pekee wa ligi uliosukumwa kwenye uwanjawa…

Continue Reading....

Vita Juu ya Vita Ndani ya Old Traffod Europa Ligi

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Vita Juu ya Vita Ndani ya Old Traffod Europa Ligi

Ndani ya uwanja wa Old Trafford leo ni marudiano ya Mahasimu wakubwa wa Soka la England ambapo Man United wanatakiwa waifunge Liverpool 3-0 ili wasonge…

Continue Reading....

Barcelona Waifanya Arsenal Academy Yao Kila Mwaka

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Barcelona Waifanya Arsenal Academy Yao Kila Mwaka

Meneja wa Arsenal Arsene Wenger anaamini vijana wake walicheza vizuri uwanjani Nou Camp licha ya kulazwa 3-1 na Barcelona Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Arsenal…

Continue Reading....

Bayern Yapenya Robo Fainali UEFA Kwa Ushindi wa Usiku

Posted on: March 17, 2016 - Yohana Chance
Bayern Yapenya Robo Fainali UEFA Kwa Ushindi wa Usiku

Klabu ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Juventus ya Italia. Mabao ya Bayern yamefungwa na Lewandowski, Thomas Muller, Thiago Alcantara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari