Arsenal imefanikiwa kupata ushindi na kufuta machungu ya kuondolewa katika kombe la vilabu bingwa Ulaya pamoja na lile la FA baada ya kuishinda Everton katika…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Jinsi Twiga Stars Walivyowafuata Wazimbabwe
Msafara wa watu 25 wa timu ya Taifa ya Wanawake ya mpira wa miguu “Twiga Stars” unatarajiwa kuondoka jana majira ya saa 4 usiku kuelekea…
Continue Reading....Waamuzi Tanzania Waula CAF
Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF) limetoa orodha ya waamuzi watakaochezesha na kusimamia michezo ya Kombe la Shirikisho Afrika (CC), kuwania kufuzu kwa…
Continue Reading....Rais wa FIFA Infantino Aanza Kuona Matumaini Mapya
Rais wa FIFA Gianni Infatino amesema kuwa tayari kumeanza kuonekana dalili za mabadiliko katika shirikisho hilo la kandanda ambalo katika siku za hivi karibuni lilikuwa…
Continue Reading....Mashabiki Waziponza Manchester United na Liverpool
Klabu za Manchester United na Liverpool zimeshtakiwa na Uefa kufuatia fujo za mashabiki wakati wa mechi ya marudiano ya Europa League iliyochezwa Alhamisi. Klabu hizo…
Continue Reading....PSG Kuikabili Man City, Barca vita Dhidi ya Atletico UEFA
Klabu ya Manchester City imepewa miamba wa Ufaransa Paris Saint Germain kwenye robofanali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya droo kufanywa mjini Nyon,…
Continue Reading....