Baada ya Ulimwengu wa soka kupata msiba siku kadhaa zilizopita baada ya kifo cha Johan Cruyff, wana afrika mashariki tuna Msiba mwingine. – golikipa wa…
Continue Reading....Category: Michezo na Burudani
Julio Amaliza Kazi yake Asubilia Atakayejitokeza
Michuano ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) ngazi ya robo fainali imeendelea jana kwa mchezo mmoja, ambapo Mwadui FC wameibuka na ushindi wa…
Continue Reading....TFF Yatupa Rungu KRFA, Kuondoa Majibu
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limekiagiza Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Katavi (KRFA) kufanya uchunguzi juu ya matokeo ya kumpata bingwa…
Continue Reading....Tiketi Mchezo wa Taifa Stars na Chad Zimeanza Kuuzwa
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kesho inashuka dimba la uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam…
Continue Reading....Huyu Dogo Anatisha Video Zake Zatazamwa Mara Bilioni 10
Mwanamuziki Justin Bieber amevunja rekodi ya Vevo kwa video yake kutazamwa mara bilioni 10. Msanii huyo wa Canada ambaye alitoa kibao kipya Purpose in Novemba…
Continue Reading....Wanariadha Wala Sabuni Eti Wakizani Chakula
Wanariadha waliokuwa wanakimbia mbio ndefu za marathon walijipata wamekula sabuni baada ya kudhania kwamba zilikuwa chakula kutokana na kukosa kuelewa lugha ya kiingereza. Takriban wanariadha…
Continue Reading....