Na Ezekiel Kamanga,Mbozi MAHAKAMA ya Mwanzo Vwawa Mjini wilayani Mbozi mkoani Mbeya imemuhukumu Patrick Moses(19) mkazi wa Ilembo kutumikia jela miaka mitano baada ya kukiri…
Continue Reading....Category: Trending
Bundi Aendelea ‘Kuitafuna’ Miss Tanzania, Kamati Yajitoa…!
KAMATI ya kuratibu Miss Tanzania imejitoa rasmi kusimamia mashindano ya Miss Tanzania kuanzia leo tarehe 21/01/2016. Mwenyekiti wa Kamati hiyo Juma Pinto alisema hayo leo,…
Continue Reading....Wafanyakazi wa Mizani Watakiwa Kuonesha Uwazi, Uadilifu na Weledi
WAFANYAKAZI wa Mizani hapa nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uwazi, uadilifu, na weledi ili kuzingatia sheria zinazoongoza sekta hiyo na hivyo kutenda haki kwa wasafirishaji…
Continue Reading....Rais Wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli, Akiwasalimia Wananchi wa Arusha
Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt John Pombe Magufuli, Akiwasalimia Wananchi wa Arusha Mapema Leo alipokuwa akielekea Wilayani Monduli…
Continue Reading....Kivumbi Ligi Kuu ya Uingereza,Arsenal Kumaliza Uteja kwa Chelsea
Ligi kuu ya soka ya England inatarajiwa kuendelea tena mwishoni mwa wiki hii kwa michezo kumi baada ya mapumziko kupisha Mechi za FA. kesho jumamosi…
Continue Reading....Yanga Sc Sasa Hii Sifa, Yarudi Kileleni Ikipiga 5-0 Taifa
Klabu ya Yanga Imefanikiwa kurejea Keleleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara mara baada ya ajana kuiibuka na ushindi wa bao 5-0 dhii ya wanalizombe timu…
Continue Reading....