Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 361

Category: Trending

Ada Elekezi Shule Binafsi Yaendelea Kufanyiwa Kazi

Posted on: January 31, 2016 - jomushi
Post Tags: Shule Binafsi
Ada Elekezi Shule Binafsi Yaendelea Kufanyiwa Kazi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema suala la ada elekezi linaendelea kufanyiwa kazi na Serikali na likifika hatua nzuri litahusisha wadau wote ili kupata maoni yao.…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Majaliwa Akuta ‘Madudu’ Hospitali ya Mawenzi Moshi

Posted on: January 31, 2016January 31, 2016 - jomushi
Post Tags: Hospitali ya Mawenzi
Waziri Mkuu Majaliwa Akuta ‘Madudu’ Hospitali ya Mawenzi Moshi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kilimanjaro na kufanya ziara kushtukiza kwenye hospitali ya rufaa ya Mawenzi ambayo ni hospitali ya mkoa huo. Waziri Mkuu…

Continue Reading....

Kwa Barcelona Hii Mbona Mtakoma Mwaka Huu

Posted on: January 30, 2016 - Yohana Chance
Kwa Barcelona Hii Mbona Mtakoma Mwaka Huu

Barcelona wameshida kwa bao 2-1 mechi yao ya ligi dhidi ya Atletico Madrid na kuzifanya mbio za kuwania ubingwa wa La Liga kupamba moto nchini…

Continue Reading....

Coleen Rooney: Nitakula Kondo Langu La Nyuma

Posted on: January 30, 2016 - Yohana Chance
Coleen Rooney: Nitakula Kondo Langu La Nyuma

Mke wa nahodha wa Manchester United Wayne Rooney, Coleen Rooney, ametangaza kwamba atakula kondo lake la nyuma baada ya kuzaliwa kwa mwana wao wa tatu…

Continue Reading....

Simba Yaifanyanyia Kitu Mbaya African Sport Uwanja Wa Taifa

Posted on: January 30, 2016 - Yohana Chance
Simba Yaifanyanyia Kitu Mbaya African Sport Uwanja Wa Taifa

Klabu ya Simba imeendelea kuzikimbiza Yanga na Azam katika mbio za kuwania ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara msimu huu baada ya kufanikiwa…

Continue Reading....

Van Gaal Aongeza Matumaini ya Kubaki Manchester United, Baada ya Ushindi

Posted on: January 30, 2016 - Yohana Chance
Van Gaal Aongeza Matumaini ya Kubaki Manchester United, Baada ya Ushindi

Manchester United wamempunguzia shinikizo la kujiuzuru meneja wao Louis van Gaal kwa kulaza klabu ya Derby 3-1 katika raundi ya nne ya Kombe la FA.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari