Katibu wa Jumuiya na Taasisi ya Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati akitoa taarifa ya…
Continue Reading....Category: Trending
Tigo Tanzania Yatoa Huduma ya ‘WhatsApp’ Bure
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Tigo, Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari na wageni waalikwa mbalimbali wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo…
Continue Reading....Rais Magufuli Aanzisha Mkoa Mpya wa Songwe…!
Na Raymond Mushumbusi-Maelezo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Joseph Magufuli ameidhinisha kuanzishwa kwa Mkoa mpya wa Songwe na wilaya nyingine mpya…
Continue Reading....TCRA na Semina ya Kuzitambua Simu Feki Zanzibar…!
Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA Innocent Mungy, akizungumza na waandishi wa habari Zanzibar kuhusiana na kutambua Simu Feki na kudhibiti uingiaji wa…
Continue Reading....Guinea Yatupwa Nje CHAN,DR Congo Yatinga Fainali
Jamhuri ya Demokrasia ya Congo imefuzu kwa fainali ya mchuano wa CHAN. Jamhuri ya Demokrasia ya Congo ilijikatia tikiti ya fainali baada ya kuilaza Guinea…
Continue Reading....Mnyama Simba Aunguruma Taifa, Yanga Yapigishwa Kwata Mbeya
Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea tena leo February 3 kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja tofauti tofauti Tanzania, klabu ya Dar Es Salaam Young…
Continue Reading....