Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 355

Category: Trending

Prof. Makame Aamuru Makandarasi Warudi Kazini

Posted on: February 7, 2016 - jomushi
Post Tags: Makandarasi
Prof. Makame Aamuru Makandarasi Warudi Kazini

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amewataka Makandarasi waliosimamisha kazi za ujenzi wa barabara nchini kuendelea na ujenzi baada ya Serikali kuanza…

Continue Reading....

DR Congo Watwaa Ubingwa wa CHAN 2016 Nchini Rwanda

Posted on: February 7, 2016 - Yohana Chance
DR Congo Watwaa Ubingwa wa CHAN 2016 Nchini Rwanda

JAMHURI ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ndiyo mabingwa wa Michuano ya Ubingwa wa Mataifa (CHAN), inayohusisha wachezaji wanaocheza ligi za nchini mwao pekee. Hiyo inafuatia…

Continue Reading....

Chelsea Yaponea Chupuchupu Kuchezea Kichapo Darajani

Posted on: February 7, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yaponea Chupuchupu Kuchezea Kichapo Darajani

Timu ya Chelsea imenusurika kuchezea kichapo wakiwa nyumbani katika uwanja wa Stanford Bridge baada ya kulazimisha dare ya bao 1-1 dhidi ya Manchester United walitangulia…

Continue Reading....

Yanga Yainyeshea JKT Ruvu Mvua ya Mabao Uwanja wa Taifa

Posted on: February 7, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yainyeshea JKT Ruvu Mvua ya Mabao Uwanja wa Taifa

Na shaffihdauda.com JKT Ruvu imekubali kichapo cha magoli 4-0 kutoka kwa Yanga na kuirejesha timu hiyo kwenye reli baada ya kuwa na wiki ya tabu…

Continue Reading....

Breaking News: Gari la mafuta Lapinduka Kisha Kuteketea kwa moto

Posted on: February 7, 2016February 7, 2016 - Yohana Chance
Breaking News: Gari la mafuta Lapinduka Kisha Kuteketea kwa moto

Ripoti kutoka Dodoma leo asubuhi ni hii ya ajali ya gari la mafuta lililodondoka na kulipuka katika eneo la Kibaigwa, hadi sasa hakuna taarifa kamili…

Continue Reading....

Leicester City Baada ya Kuilaza City Yatuma Salamu Kwa Arsenal

Posted on: February 6, 2016 - Yohana Chance
Leicester City Baada ya Kuilaza City Yatuma Salamu Kwa Arsenal

Leicester City wanazidi kujikita kileleni mwa ligi kuu England baada ya leo kuwatungua vigogo wa EPL Man City kwa mabao 3-1. Licha ya kuwa hawapewi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari