Joseph Olowa akiiomba kampuni ya True Vision kusaidia kuelimisha watu wenye lugha za matusi hadharani hivi karibuni wakati wa mdahalo maalum kuhusu adhabu kwa watoto ulioandaliwa…
Continue Reading....Category: Trending
Benki ya Dunia, Serikali Kukarabati Mitaro Temeke
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO SERIKALI kwa kushirikiana na Benki ya Dunia inategemea kuanza ukarabati wa Miundombinu mibovu hususani ya mitaro inayosababisha maafa wilayani Temeke…
Continue Reading....Serikali ya Rais Magufuli na Dhamira ya Kujenga Uchumi wa Viwanda
Na Eleuteri Mangi – MAELEZO SERIKALI imesema dhamira yake ya kujenga uchumi wa viwanda nchini imejengwa kupitia maeneo ya vipaumbele ambayo yataanza kutekelezwa katika bajeti…
Continue Reading....Mtanzania Auwawa Nchini Kenya, Kamari Yamponza
RAIA wa Tanzania ameuawa na umati mjini Nairobi baada ya yeye kudaiwa kuwashambulia na kuwaua watu wawili katika kasino. Watu walioshuhudia tukio hilo walisema mwanamume…
Continue Reading....Barabara za Mzunguko Kuanza Kujengwa Dar Juni
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema ujenzi wa barabara za mzunguko (ring roads) zenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katikati…
Continue Reading....Tigo Yakabidhi Vifaa vya Mawasiliano na Michezo kwa Wanahabari
Meneja Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha (Kushoto) akikabidhi vifaa mbalimbali vifaa vya mawasiliano na michezo vyenye thamani ya shilingi milioni nane kwa Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Dodoma (CPC) Habel Chidawali, ili kufanikisha bonanza…
Continue Reading....