Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 333

Category: Trending

Uzinduzi wa Intaneti ya Kasi zaidi ya Tigo 4g Kilimanjaro

Posted on: February 28, 2016 - jomushi
Uzinduzi wa Intaneti ya Kasi zaidi ya Tigo 4g Kilimanjaro

  Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Kaskazini, George Lugata akiongea na wageni waalikwa na wanahabari wakati wa hafla ya uzinduzi wa  intaneti yenye kasi ya…

Continue Reading....

Waziri Nape Avitaka Vyombo vya Habari vya Serikali Kufichua Maovu.

Posted on: February 28, 2016 - jomushi
Waziri  Nape Avitaka Vyombo vya Habari vya Serikali Kufichua Maovu.

Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye amewaasa wafanyakazi wa kampuni ya magazeti ya serikali ya Habari Leo,Daily News,SpotiLeo na Sunday News kuwa mstari wa…

Continue Reading....

Rais Magufuli Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Posted on: February 28, 2016February 28, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli  Awasili Arusha Kuongoza Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Mshariki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Daudi Felix Ntibenda mara baada ya…

Continue Reading....

IGP Mangu Afanya Mabadiliko kwa Baadhi ya Makamanda wa Polisi

Posted on: February 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Jeshi la Polisi
IGP Mangu Afanya Mabadiliko kwa Baadhi ya Makamanda wa Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu amefanya Mabadiliko kwa baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa na vikosi hapa nchini. Mabadiliko hayo…

Continue Reading....

Ofisa Uhusiano TTCL Afariki Dunia

Posted on: February 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Kampuni TTCL
Ofisa Uhusiano TTCL Afariki Dunia

OFISA Uhusiano wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Bi. Amanda Fredrick Luhanga, amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia Jumamosi Februari 27, 2016. Taarifa ya kifo…

Continue Reading....

Chelsea Yapeta Ligi Kuu Uingereza Yaisambaratisha Southamptom 2-1

Posted on: February 27, 2016 - Yohana Chance
Chelsea Yapeta Ligi Kuu Uingereza Yaisambaratisha Southamptom 2-1

Timu ya Chelsea Imefanikiwa kupata ushindi wa Mabao 2-1 katika mwendelezo wa ligi kuu ya Uingereza, baada ya kutoka nyuma kwa bao la mapema la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari