Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 330

Category: Trending

Mahakama ya Tanzania Yakutana na Wadau Jijini Dar es salaam.

Posted on: March 1, 2016 - jomushi
Mahakama ya Tanzania Yakutana na Wadau Jijini Dar es salaam.

Na. Aron Msigwa –MAELEZO. Dar es salaam. Mahakama ya Tanzania imesema kuwa inaendelea na mkakati wa kufanya maboresho ya miundombinu yake ili kurahisisha utoaji wa…

Continue Reading....

Dk. Kigwangalla Aagiza Kufungwa Chumba cha Upasuaji Hospitali ya Sanitas Mikocheni

Posted on: March 1, 2016 - jomushi
Dk. Kigwangalla Aagiza Kufungwa Chumba cha Upasuaji  Hospitali ya Sanitas Mikocheni

Naibu wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza kufungwa mara moja Chumba cha upasuaji cha hospitali ya…

Continue Reading....

TFF Yatangaza Viingilio vya Mchezo wa Twiga Stars dhidi ya Zimbabwe

Posted on: March 1, 2016March 1, 2016 - Yohana Chance
TFF Yatangaza Viingilio vya Mchezo wa Twiga Stars dhidi ya Zimbabwe

Kiingilio cha chini cha mchezo wa kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ‘Taifa…

Continue Reading....

Hivi ndivyo Jeshi la Polisi Arusha Lilivyokabiliana na Majambazi

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Hivi ndivyo Jeshi la Polisi Arusha Lilivyokabiliana na Majambazi

Na; Kiongozigod Watu watatu wanaodhaniwa kuwa majambazi wameuwawa kwa kupigwa risasi na askari polisi katika eneo la Engosheraton mkoani Arusha. Kamanda wa jeshi la polisi…

Continue Reading....

Utafiti Waweka Bayana Changamoto za Wanawake Uchaguzi Mkuu

Posted on: March 1, 2016 - jomushi
Post Tags: TAMWA
Utafiti Waweka Bayana Changamoto za Wanawake Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu UTAFITI mdogo uliofanywa katika baadhi ya vyombo vya habari ulibainisha kuwa ni asilimia 11 tu ya wanawake wagombea ndio walipata nafasi ya…

Continue Reading....

Rais wa Bayern Uli Hoeness Aachiliwa Huru Kutoka Jela

Posted on: March 1, 2016 - Yohana Chance
Rais wa Bayern Uli Hoeness Aachiliwa Huru Kutoka Jela

Rais wa zamani wa Bayern Munich Uli Hoeness hatimaye yuko huru. Ameachiliwa huru kutoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miezi 21 kwa makosa ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari