Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 316

Category: Trending

Waalikwa Kwenye Celebrity Corporate Conference & Cocktail

Posted on: March 10, 2016 - jomushi
Post Tags: Celebrity Corporate
Waalikwa Kwenye Celebrity Corporate Conference & Cocktail

   Itakayofanyika Ijumaa 11/03/2016 katika Hotel ya Hyatt regency. Kama Usipoona jina lako hapa, basi liko kwenye list ya October,2016 ambapo event hii itafanyika tena. WAPI:…

Continue Reading....

Dk. Possi Azindua Kitabu cha Jinsi ya Kuondokana na Umasikini

Posted on: March 10, 2016 - jomushi
Dk. Possi Azindua Kitabu cha Jinsi ya Kuondokana na Umasikini

Na Raymond Mushumbusi ,MAELEZO Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,Uratibu,Bunge,Kazi,Ajira na Walemavu Dkt Abdallah Possi amezindua kitabu kinachoelezea namna ya Tanzania inavyoweza…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Awahakikishia Fursa za Uwekezaji wa Vietnam

Posted on: March 10, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Awahakikishia Fursa za Uwekezaji wa Vietnam

Na Anitha Jonas – MAELEZO Dar es Salaam. Waziri Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania Kassim Majaliwa amewahakikishia wawekezaji kutoka Vietnam kuwepo kwa…

Continue Reading....

Watoto chini ya miaka 5 Kunufaika na Upimaji wa Afya bure kutoka Bango Sangho

Posted on: March 10, 2016March 10, 2016 - jomushi
Watoto chini ya miaka 5 Kunufaika na Upimaji wa Afya bure kutoka Bango Sangho

Umoja wa Watu kutoka Bengali, India wanaoishi Tanzania (Bango Sangho) unataraji kutoa huduma ya upimaji wa afya bure kwa watoto walio na umri chini ya…

Continue Reading....

Rais Magufuli Ashtukiza BoT, Atoa Agizo la Kusitiza Ulipaji wa Malimbikizo

Posted on: March 10, 2016March 10, 2016 - Yohana Chance
Rais Magufuli Ashtukiza BoT, Atoa Agizo la Kusitiza Ulipaji wa Malimbikizo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Ofisi za Benki Kuu ya Tanzania BOT kabla ya kuzungumza na…

Continue Reading....

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway,Tone Skogen Atembelea Chuo cha Ufundi Arusha

Posted on: March 10, 2016 - Yohana Chance
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway,Tone Skogen  Atembelea Chuo cha Ufundi Arusha

Ujumbe uliongozana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway,Tone Skogen kutoka Norway na maafisa kutoka ubalozi wao nchini wakisalimiana na wafanyakazi wa Chuo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari