Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 312

Category: Trending

Rais Kagame Afuata Nyayo za Magufuli…!

Posted on: March 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Kagame Rwanda
Rais Kagame Afuata Nyayo za Magufuli…!

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amelaumu Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kufanya matumizi holela ya fedha kutokana na mawaziri kufanya ziara za mara kwa mara…

Continue Reading....

Subash Patel  Atoa Mabati ya Milioni 200 Ujenzi wa Shule Dar

Posted on: March 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Ujenzi wa Shule Dar
Subash Patel  Atoa Mabati ya Milioni 200 Ujenzi wa Shule Dar

   Mkurugenzi Mtendaji wa M.M.I Steel, Subash Patel (kulia), akizungumza katika makabidhiano hayo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Sadiki (katikati), akitoa shukurani kwa…

Continue Reading....

Dk Kigwangalla Aipandisha Hadhi Zahanati ya Msoga Kuwa ya Wilaya

Posted on: March 14, 2016 - jomushi
Post Tags: hospitali
Dk Kigwangalla Aipandisha Hadhi Zahanati ya Msoga Kuwa ya Wilaya

  SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeipa hadhi ya kuwa Hospitali Wilaya iliyokuwa Zahanati ya Msoga ambayo tayari imekamilisha…

Continue Reading....

Zlatan Apiga Bao Nne Mwenyewe PSG Ikipiga Mtu Tisa

Posted on: March 14, 2016 - Yohana Chance
Zlatan Apiga Bao Nne Mwenyewe PSG Ikipiga Mtu Tisa

Mshambuliaji wa PSG, Zlatan Ibrahimovic amefanya ameiwezesha timu yake ya PSG kupata ushindi wa bao 9-0 ugenini dhidi ya Troyes kwenye mchezo wa Ligue 1…

Continue Reading....

Simba Yaendelea Kung’ang’ania Kileleni Ligi Kuu

Posted on: March 14, 2016 - Yohana Chance
Simba Yaendelea Kung’ang’ania Kileleni Ligi Kuu

Klabu ya Simba bado imeendelea kutamba kwenye ligi ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuinyamazisha Tanzania Prisons ya Mbeya kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa…

Continue Reading....

Usafiri wa Reli ya Kati Uliokuwa Umesimama Warejea

Posted on: March 13, 2016 - jomushi
Post Tags: Reli ya Kati
Usafiri wa Reli ya Kati Uliokuwa Umesimama Warejea

HUDUMA ya usafiri wa reli ya Kati iliyokuwa imesimama kwa takribani miezi miwili sasa imerejea kufuatia kukamilika kwa ukarabati wa reli hiyo katika eneo la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari