Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 306

Category: Trending

PSG Kuikabili Man City, Barca vita Dhidi ya Atletico UEFA

Posted on: March 19, 2016 - Yohana Chance
PSG Kuikabili Man City, Barca vita Dhidi ya Atletico UEFA

Klabu ya Manchester City imepewa miamba wa Ufaransa Paris Saint Germain kwenye robofanali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya droo kufanywa mjini Nyon,…

Continue Reading....

Kloop Arejeshwa Ujerumani kwa Lazima

Posted on: March 19, 2016March 19, 2016 - Yohana Chance
Kloop Arejeshwa Ujerumani kwa Lazima

Kocha wa kilabu ya Liverpool Jurgen Klopp atakutana na timu yake ya zamani Borussia Dortmund katika robofanili ya kombe la Europa. Klopp mwenye umri wa…

Continue Reading....

Mwenyekiti UWT Dar es salaam Awanyoshea Kidole Waliokisaliti Chama Wakati wa Uchaguzi Mkuu

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Mwenyekiti UWT Dar es salaam Awanyoshea Kidole  Waliokisaliti Chama Wakati wa Uchaguzi Mkuu

Na Dotto Mwaibale MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Janeth Masaburi amesema wanachama wa chama hicho waliokiuchumu wakati wa uchaguzi…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afungua Duka la Bohari ya Dawa Chato

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Afungua Duka la Bohari ya Dawa Chato

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amefungua duka la Bohari ya Dawa (MSD), la Wilayani Chato duka litakalotoa huduma kwa wananchi wa wilaya hiyo. Akizungumza katika hafla…

Continue Reading....

Uamuzi Kutoa Elimu bure Utachochea Usawa wa Kijinsia– Ummy Mwalimu

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Uamuzi Kutoa Elimu bure Utachochea Usawa wa Kijinsia– Ummy Mwalimu

Hayo yalisemwa na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (Mb.)wakati akitoa taarifa ya nchi katika Mkutano wa 60…

Continue Reading....

Serikali Yapongeza Operesheni Safisha ya TFDA

Posted on: March 18, 2016 - jomushi
Serikali Yapongeza Operesheni Safisha ya TFDA

NAIBU WAZIRI WA AFYA, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Hamisi Kigwangalla amepongeza juhudi za Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) nchini kwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari