Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 285

Category: Trending

Uwongo Wamfukuzisha Kazi Mkuu wa Mkoa Shinyanga…!

Posted on: April 11, 2016April 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Afukuzwa Kazi
Uwongo Wamfukuzisha Kazi Mkuu wa Mkoa Shinyanga…!

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzanaia Dk. John Pombe Magufuli amemfukuza kazi Mkuu wa Mkoa wa shinyanga…

Continue Reading....

Obama Ajutia Makosa ya Marekani Dhidi ya Libya…!

Posted on: April 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Barrack Obama
Obama Ajutia Makosa ya Marekani Dhidi ya Libya…!

RAIS wa Marekani Barack Obama amekiri kwa mara ya kwanza kwamba serikali yake ilishindwa katika utatuzi mzozo wa Taila la Libya. Alisema hilo huenda ndilo…

Continue Reading....

Ujenzi Bomba la Mafuta Afrika Mashariki Wajadiliwa Uganda

Posted on: April 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Bomba la Mafuta
Ujenzi Bomba la Mafuta Afrika Mashariki Wajadiliwa Uganda

MKUTANO unaohusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Uganda hadi Bahari ya Hindi umeanza mjini Kampala nchini Uganda. Mkutano huo unayashirikisha mataifa waanzilishi wa…

Continue Reading....

Droo ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Kufanyika Kesho

Posted on: April 11, 2016April 11, 2016 - Yohana Chance
Droo ya Nusu Fainali Kombe la Shirikisho Kufanyika Kesho

Droo ya Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), inatarajiwa kufanyika kesho Jumanne saa 3 usiku moja kwa moja (live) kupitia kituo…

Continue Reading....

Rais Dk.Shein amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali

Posted on: April 11, 2016 - Yohana Chance
Rais Dk.Shein amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wa Wizara 13 za Serikali ya…

Continue Reading....

Hakuna wa Kumzuia Leicester City Kubeba Ndoo

Posted on: April 11, 2016 - Yohana Chance
Hakuna wa Kumzuia Leicester City Kubeba Ndoo

Ligi kuu ya soka ya Uingereza imeendelea tena jumapili kwa michezo mitatu ,Sunderland wakicheza nyumbani dhidi ya vinara wa ligi Leicester city, waliambulia kipigo cha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari