Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 282

Category: Trending

Ratiba ya UEFA Yamkalia Vibaya Manchester City

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Ratiba ya UEFA Yamkalia Vibaya Manchester City

Klabu ya Manchester City ya Uingereza imeepuka kukutana na meneja wake wa msimu ujao Pep Guardiola kwenye nusufainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Miamba…

Continue Reading....

Liverpool Wapewa Kigogo wa Hispania EUROPA Ligi

Posted on: April 15, 2016April 15, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Wapewa Kigogo wa Hispania EUROPA Ligi

klabu ya Liverpool ya Uingereza imekabidhiwa Villarreal ya Uhispania katika hatua ya nusu fainali ya Europa Ligi. Shakhtar Donetsk kutoka Ukraine nao watakutana na mabingwa…

Continue Reading....

Liverpool Yatinga Nusu Fainali EUROPA Ligi

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Yatinga Nusu Fainali EUROPA Ligi

Hatua ya Robo fainali ya michuano ya Europa imeendelea tena Alhamisi kwa michezo minne, ambapo Liverpool imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali kufuatia ushindi wa…

Continue Reading....

Kipute cha Ligi Kuu Ya Uingererza Kuendelea Tena

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Kipute cha Ligi Kuu Ya Uingererza Kuendelea Tena

Ligi kuu ya England inatarajiwa kuendelea tena mwishoni mwa wiki hii kwa michezo kadhaa, Jumamosi Norwich itaikaribisha Sunderland, Everton wao watakuwa wenyeji wa Southampton Man…

Continue Reading....

Mkutano wa Madini Waairishwa Baada ya Kukosa Wadau Muhimu

Posted on: April 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Nishati na Madini
Mkutano wa Madini Waairishwa Baada ya Kukosa Wadau Muhimu

  Baadhi ya wadau wa madini wakiwa tayari kwa mkutano ulio ahirishwa kutokana na kutofika kwa wadau muhimu kutoka Wizara ya Nishati na Madini.  …

Continue Reading....

Rais Dk. Magufuli Kuzinduwa Ujenzi wa Barabara ya Juu ‘Flyover’

Posted on: April 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Wizara ya Ujenzi
Rais Dk. Magufuli Kuzinduwa Ujenzi wa Barabara ya Juu ‘Flyover’

WIZARA ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inapenda kutaarifu Umma kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, anatarajiwa kuwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari