Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 261

Category: Trending

Rais DK Magufuli Ashiriki Ibada Parokia ya Toleo la Bwana Jimbo la Arusha

Posted on: May 8, 2016May 9, 2016 - Yohana Chance
Rais DK Magufuli Ashiriki Ibada Parokia ya Toleo la Bwana Jimbo la Arusha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli akisalimia waumini aliposhiriki ibada ya Jumapili ya Kupaa kwa Bwana katika Parokia ya…

Continue Reading....

Sababu za Jengo la NSSF Kuungua Zatajwa…!

Posted on: May 7, 2016 - jomushi
Post Tags: NSSF
Sababu za Jengo la NSSF Kuungua Zatajwa…!

WATU walioshughudia Jengo la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) eneo la Akiba kuungua moto jana wamwtaja sababu zilizosababisha kuzuka kwa moto huo…

Continue Reading....

Rais Magufuli Amnasa Aliyeficha Sukari, Awatunuku Kamisheni 586 JWTZ

Posted on: May 7, 2016 - jomushi
Post Tags: Rais Magufuli
Rais Magufuli Amnasa Aliyeficha Sukari, Awatunuku Kamisheni 586 JWTZ

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dk. John Pombe Magufuli Mei 7 amesema tayari vyombo vya dola vimekamata tani 5,000…

Continue Reading....

Leicester City Yabeba Ndoo Kwa Ushindi Mnono

Posted on: May 7, 2016 - Yohana Chance
Leicester City Yabeba Ndoo Kwa Ushindi Mnono

Klabu ya Leicester City Imefanikiwa Kuibuka na ushindi wa Magoli 3 – 1 dhidi yaBaada ya kufaniki Everton na Kukabidhiwa Taji lao mara baada ya…

Continue Reading....

Hakuna wa Kumzuia Yanga, Waangola Waona Cha Moto Taifa

Posted on: May 7, 2016 - Yohana Chance
Hakuna wa Kumzuia Yanga, Waangola Waona Cha Moto Taifa

Kweli Yanga sasa ni zaidi ya Moto wa Petroli, imefanikiwa kuisambaratisha Timu ya Esparance ya Angola kwa Mabao 2 -0 katika hatua ya michuano ya…

Continue Reading....

Amir Jeshi Mkuu Rais Dk Magufuli Atunuku Kamisheni Maafisa 586 Katika Chuo cha Maafisa wa Jeshi la Wananchi Monduli (TMA)

Posted on: May 7, 2016May 7, 2016 - Yohana Chance
Amir Jeshi Mkuu Rais Dk Magufuli Atunuku Kamisheni Maafisa 586 Katika Chuo cha Maafisa wa Jeshi la Wananchi Monduli (TMA)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu Dk. John Pombe Magufuli akikagua gwaride kabla ya kutunuku Kamisheni kwa Maafisa Wapya 586…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari