Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 253

Category: Trending

NSSF Yatoa Elimu kwa Wafanyabiashara Soko la Kilombero Arusha

Posted on: May 19, 2016 - jomushi
Post Tags: NSSF
NSSF Yatoa Elimu kwa Wafanyabiashara Soko la Kilombero Arusha

SHIRIKA la  Taifa la  Hifadhi ya Jamii (NSSF) yazidi kutoa elimu juu ya hifahdi ya jamii kwa wananchi mbalimbali ikiwa ni  mpango maalamu wa kuwafikia wanachama …

Continue Reading....

RC Makonda, Mrisho Mpoto Waisaidia Shule Iliyoungua Dar…!

Posted on: May 19, 2016 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Moto
RC Makonda, Mrisho Mpoto Waisaidia Shule Iliyoungua Dar…!

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na Msanii maarufu wa kughani mashairi katika nyimbo, Mrisho Mpoto wameahidi kuisaidia magodoro 110 Shule…

Continue Reading....

Liverpool Yaangukia Pua Kwa Sevilla

Posted on: May 18, 2016 - Yohana Chance
Liverpool Yaangukia Pua Kwa Sevilla

Klabu ya Liverpool baada ya miaka mingi bila kuingia hatua ya fainali michuano ya Europa Ligi Leo Imeambulia kichapo cha bao 3-1 katika fainali dhidi…

Continue Reading....

Yanga Yachapwa Angola, Ila Wasonga Hatua ya Makundi

Posted on: May 18, 2016May 18, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yachapwa Angola, Ila Wasonga Hatua ya Makundi

Klabu ya Yanga imefanikiwa kufuzu kwenye hatua ya makundi ya michuano ya CAF kwa mara ya kwanza tangu walipofanikiwa kufanya hivyo kwa mara ya kwanza…

Continue Reading....

Mkwasa Ataja Majembe Yake Tayari Kuwavaa Wamisri

Posted on: May 18, 2016 - Yohana Chance
Mkwasa Ataja Majembe Yake Tayari Kuwavaa Wamisri

Kocha Mkuu wa timu ya Soka ya Tanzania, Charles Boniface Mkwasa ameita kikosi cha wachezaji 27 watakaounda Taifa Stars ambacho kinajiandaa kucheza Misri Juni 4,…

Continue Reading....

Wanafunzi Waeleza Moto Ulivyoibuka Shule ya Wasichana Dar

Posted on: May 18, 2016 - jomushi
Post Tags: Ajali ya Moto
Wanafunzi Waeleza Moto Ulivyoibuka Shule ya Wasichana Dar

WAATHIRIKA wa tukio la moto katika Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Kiislamu ya Ilala iliyoteketea kwa moto jana wameeleza mazingira ya moto ulivyotokea katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari