Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 251

Category: Trending

Benki ya NMB Yatoa Msaada wa Madawati 50 Shule ya Msingi Majimatitu

Posted on: May 21, 2016 - jomushi
Post Tags: Banki ya NMB PLC
Benki ya NMB Yatoa Msaada wa Madawati 50 Shule ya Msingi Majimatitu

                                      Meneja wa Benki ya NMB Kanda…

Continue Reading....

Pombe Yamfukuzisha Kazi Waziri wa Magufuli

Posted on: May 20, 2016 - jomushi
Post Tags: Dk. John Magufuli
Pombe Yamfukuzisha Kazi Waziri wa Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemfukuza kazi Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga kwa kuingia bungeni…

Continue Reading....

Tigo Yazindua Huduma ya Tigo Games

Posted on: May 20, 2016May 20, 2016 - jomushi
Tigo Yazindua Huduma  ya Tigo Games

Kampuni ya simu ya Tigo, imetangaza uzinduzi wa huduma mpya ya michezo kidijitali ijulikanayo kama Tigo Games. Tigo Games ni huduma katika wavuti ambayo imesheheni…

Continue Reading....

Mwanafunzi Mbaroni kwa Kumtukana Dk. Shein na Mkuu wa Majeshi

Posted on: May 20, 2016 - jomushi
Mwanafunzi Mbaroni kwa Kumtukana  Dk. Shein  na Mkuu wa Majeshi

Na Woinde Shizza,Arusha Jeshi la Polisi mkoani hapa linamshikilia mwanafunzi wa Mwaka wa tatu wa chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru Harold Mmbando (23) mkazi…

Continue Reading....

Clinton: Siwezi Kushindwa na Bernie Sanders

Posted on: May 20, 2016 - jomushi
Clinton: Siwezi Kushindwa na Bernie Sanders

Mgombea urais anayeongoza katika chama cha Democratic nchini Marekani Bi.Hillary Clinton amesema haiwezekani iwe kwamba hatakuwa mgombea wa chama hicho katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Novemba.…

Continue Reading....

Azam Sasa Mambo Safi, Wahispania Washika Usukani

Posted on: May 20, 2016 - Yohana Chance
Azam Sasa Mambo Safi, Wahispania Washika Usukani

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, tayari umefikia makubaliano na wakufunzi kutoka nchini Hispania, Kocha Mkuu Zeben Hernandez na Mtaalamu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari