Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 238

Category: Trending

Kampuni ya Kigeni Inapotumia Mbinu Chafu Kuidhalilisha Serikali

Posted on: June 12, 2016 - jomushi
Post Tags: Uhalifu
Kampuni ya Kigeni Inapotumia Mbinu Chafu Kuidhalilisha Serikali

Na Mwandishi Wetu BIASHARA ya utalii imekuwa na ushindani mkubwa si nje bali hata ndani ya nchi yetu. Ushindani wa kibiashara unadhihirishwa na jinsi ambavyo…

Continue Reading....

Rais John Magufuli Ampa Mwigulu Nchemba Wizara ya Mambo ya Ndani

Posted on: June 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Uteuzi wa Rais
Rais John Magufuli Ampa Mwigulu Nchemba Wizara ya Mambo ya Ndani

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amemteuwa aliyekuwa Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Mambo…

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Akemea Hujuma Miundombinu ya Barabara Singida

Posted on: June 11, 2016June 12, 2016 - jomushi
Post Tags: TANROADS
Prof.  Mbarawa Akemea Hujuma Miundombinu ya Barabara Singida

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa amewaagiza viongozi wa Serikali kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama na wananchi mkoani Singida kuwabaini…

Continue Reading....

Nigeria Wapata Pigo Lingine Kwenye Soka

Posted on: June 11, 2016 - Yohana Chance
Nigeria Wapata Pigo Lingine Kwenye Soka

Shirikisho la soka la Nigeria linasema kuwa mkurugenzi wa kiufundi ambaye pia alikuwa kocha wa zamani wa timu ya taifa Amodu Shuaibu, ameaga dunia akiwa…

Continue Reading....

Bondia Muhammadi Azikwa Kama Mfalme

Posted on: June 11, 2016 - Yohana Chance
Bondia Muhammadi Azikwa Kama Mfalme

Maelfu ya watu wamemuaga aliyekuwa bondia shupavu Muhammad Ali nyumbani kwake katika mji wa Louisville huko Kentucky. Bondia wa Uingereza Amir Khan ambaye alikutana na…

Continue Reading....

Ufaransa Yaanza Kwa kishindo Michuano ya Euro

Posted on: June 11, 2016 - Yohana Chance
Ufaransa Yaanza Kwa kishindo Michuano ya Euro

Ufaransa imeanza vizuri mashindano haya ya kombe la mataifa ya Ulaya jana Ijumaa , kwa timu yake ya taifa kuishinda Romani kwa mabao 2-1 na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari