Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Joseph Magufuli akizindua sarafu maalumu ya shilingi 50,000/- kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya benki…
Continue Reading....Category: Trending
Chile Uso Kwa Uso na Argentina Fainali ya Copa America
Katika Copa Amerika timu ya Chile imeiambaratisha Colombia kwa kuifunga magoli 2-0 katika Nusu Fainali Alfajiri ya leo Uwanja wa Soldier Field mjini Chicago, Illinois,…
Continue Reading....Ronaldo Amnyang’anya Mtangazaji Maiki na Kuitupa
Wakati Mtangazaji wa Iceland amefurahi kweli kweli kwa Timu yake kufuzu, Mtangazaji Mreno yeye anaugulia maumivu ya moyo kwa tukio alilofanyiwa na Ronaldo na kumnyang’anya…
Continue Reading....Mmiliki wa TP Mazembe Ahukumiwa Miaka Mitatu Jela
Mgombea urais wa upinzani nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Moise Katumbi, amehukumiwa kifungo cha miezi 36 jela kwa kununua nyumba kinyume cha sheria kwenye…
Continue Reading....Mtoto wa Miaka Minne Abakwa na Kusababishiwa Kifo
JESHI la polisi Mkoani Arusha,linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuhusika na tukio la ubakaji wa mtoto mdogo liliotokea juni 20 na kupelekea kifo chake.…
Continue Reading....Kadabla Kustaafu Soka Baada ya Michuano ya Euro
Nyota wa Sweden Zlatan Ibrahimovich ametangaza kwamba atastaafu katika soka ya kimataifa baada ya michuano ya Euro 2016. Taifa lake linakutana na Ubelgiji katika mechi…
Continue Reading....