Ureno imekuwa nchi ya kwanza kuingia fainali ya michuano ya Euro baada ya kuzima ndoto za Wales kwa kuichapa magoli 2 – 0 katika mechi…
Continue Reading....Category: Trending
Udanganyifu Wampeleka Jela Lionel Messi
Mchezaji nyota wa Argentina na Barcelona Lionel Messi amehukumiwa kifungo cha miezi 21 jela baada ya kupatikana na makosa ya kutumia ulaghai wakati wa ulipaji…
Continue Reading....Amos Makalla Atembelea Pandahill Patakapochimbwa Madini ya Niobium
Na Mwandishi wetu,Mbeya Mkuu wa mkoa wa Mbeya Amos Makalla ametembelea eneo la Pandahill kata ya Songwe mahali ambapo patachimbwa madini aina ya Niobium ambayo…
Continue Reading....Swala ya Ed-El-Fitr Viwanja vya Mwembe Yanga Dar es salaam
Waumini wa dini ya kiislam wakiwa kwenye swala hiyo. Mratibu wa swala hiyo ya Ed El-Fitr, Sheikh Othman Abdallah Dishi (kulia), akizungumza katika swala…
Continue Reading....PBZ Yakabidhi Msaada kwa Watoto yatima Zanzibar
Mkurugenzi Mtendaji wa PBZ Ndg Juma Ameir akisalimiana na Watoto wa Kijiji cha SOS Mombasa Zanzibar alipowasili kwa ajili ya kukabidhi misaada ya Vyakula kwa…
Continue Reading....Walemavu Walia na Upungufu wa Walimu
Na; Ferdinand Shayo,Arusha. Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Patandi iliyopo wilaya ya Arumeru Mkoani Arusha wamelalamikia tatizo la upungufu wa walimu,vitabu na vifaa…
Continue Reading....