Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 148

Category: Trending

Watu Wenye Silaha Washambulia ‘Kijiji’ Kenya, Wauwa

Posted on: October 6, 2016 - jomushi
Watu Wenye Silaha Washambulia ‘Kijiji’ Kenya, Wauwa

  WATU kadha wanahofiwa kufariki dunia baada ya watu wenye silaha kushambulia mtaa mmoja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya. Taarifa zinasema washambuliaji hao walivamia…

Continue Reading....

Mkuu wa Wilaya Same Ashiriki Kuchimba Barabara na Wananchi

Posted on: October 6, 2016 - jomushi
Post Tags: barabara
Mkuu wa Wilaya Same Ashiriki Kuchimba Barabara na Wananchi

  Na Mathias Canal, Kilimanjaro MKUU wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Rosemary Staki Senyamule amejumuika na wananchi wa Kata ya Vudee katika shughuli ya…

Continue Reading....

Benki ya CRDB Yakata Keki na Wateja Tawi la Quality Center

Posted on: October 6, 2016 - jomushi
Benki ya CRDB Yakata Keki na Wateja Tawi la Quality Center

 “Tukiwa tunasherehekea wiki ya huduma kwa wateja kwa mwaka 2016, tunajivunia kuwa sehemu ya maendeleo na mafanikio yako ya Familia yako,tunaahidi kukupatia suluhisho la masuala ya kibenki…

Continue Reading....

Hatimaye Serikali Yaikubali Chura ya Msanii Snura…!

Posted on: October 6, 2016 - jomushi
Post Tags: wasanii
Hatimaye Serikali Yaikubali Chura ya Msanii Snura…!

Mkutano na wanahabari ukiendelea.      Na Dotto Mwaibale   SERIKALI kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeruhusu kupigwa kwa wimbo wa chura…

Continue Reading....

Profesa Mbarawa Awakoromea TEMESA Juu ya Mapato

Posted on: October 6, 2016October 6, 2016 - jomushi
Post Tags: Temesa
Profesa Mbarawa Awakoromea TEMESA Juu ya Mapato

    WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa ameuagiza uongozi wa Wakala wa Ufundi na Umeme nchini (TEMESA), kuhakikisha wanaweka mipango madhubuti…

Continue Reading....

StarTimes Waleta Chaneli Mpya Kunogesha Wateja…!

Posted on: October 6, 2016 - jomushi
StarTimes Waleta Chaneli Mpya Kunogesha Wateja…!

 Meneja wa Ufundi wa StarTimes Tanzania, Yusuph Baracha (kushoto) akiwaelekeza wateja walipotembelea chumba cha kurushia matangazo ya chaneli mbalimbali zinazopatikana kupitia king’amuzi cha kampuni hiyo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari