Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Trending
  • Page 137

Category: Trending

Asilimia100 ya watoto wa mitaani Mwanza Wamenyanyaswa Kingono-Utafiti

Posted on: October 20, 2016 - jomushi
Asilimia100 ya watoto wa mitaani Mwanza Wamenyanyaswa Kingono-Utafiti

          UTAFITI uliofanywa na shirika la Railway Children Africa mkoani mwaka jana umebaini kuwa idadi kubwa ya watoto wanaoishi katika mazingira…

Continue Reading....

Yanga Yang’ara, Azam Wabaniwa Tena

Posted on: October 19, 2016October 19, 2016 - Yohana Chance
Yanga Yang’ara, Azam Wabaniwa Tena

YANGA SC imejiimarisha kidogo kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wenyeji, Toto…

Continue Reading....

TPB Mbeya Yachangia Ujenzi Mkoa Mpya wa Songwe

Posted on: October 19, 2016 - jomushi
TPB Mbeya Yachangia Ujenzi Mkoa Mpya wa Songwe

  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Luteni Mstaafu Chiku Galawa akizungumza mara baada ya kupokea msaada wa mifuko ya cement 125 kutoka benki ya Posta…

Continue Reading....

Vijana Watakiwa Kuwa Wabunifu na Wasaka Fursa

Posted on: October 19, 2016 - jomushi
Vijana Watakiwa Kuwa Wabunifu na Wasaka Fursa

KUFUATIA changamoto ya uhaba wa ajira hususani kwa vijana nchini, wametakiwa kuwa wabunifu na watafutaji wa fursa za kujiajiri badala ya kuilalamikia serikali kuwa haitatui changamoto…

Continue Reading....

Acha Kuchezea Moto wa Leicester City

Posted on: October 19, 2016 - Yohana Chance
Acha Kuchezea Moto wa Leicester City

Klabu ya soka ya Leicester City imeendeleza wimbi la ushindi katika michuano ya ligi binya magwa barani Ulaya baada ya kuibuka na ushindi wa bao…

Continue Reading....

Namaingo Kunufaisha Wananchi 3,000 Ufugaji Kuku Mkoani Lindi

Posted on: October 18, 2016 - jomushi
Namaingo Kunufaisha Wananchi 3,000 Ufugaji Kuku Mkoani Lindi

      KAMPUNI ya Namaingo Business Agency (T) LTD, mwezi ujao inazindua mradi mkubwa wa ufugaji kuku chotara wenye thamani ya sh. bilioni 30…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari