Tumegundua hizi jumbe za mjini Dar huwa zinajibishana kwasababu kuna ujumbe mmoja (kwenye Bodaboda) tuliweka hapa ulikuwa unasema “Usije Mjini” na huu wa leo kwenye…
Continue Reading....Category: featured
Serikali: Hatuja Mkejeli Jaji Warioba Kumpa Tuzo ya Muungano
Na Magreth Kinabo, Maelezo MSEMAJI wa Serikali ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Mwambene amesema Jaji Joseph Warioba alitunukiwa tuzo ya…
Continue Reading....Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe
Na Joachim Mushi, Mbeya Vijijini BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na…
Continue Reading....Mzee Auwawa Kikatili Wilayani Rombo
MKAZI wa Kijiji cha Mahida Nguduni, Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro, Dominick Kavishe (65) mkulima ameuwa kikatili kwa kuchomwa na vitu vyenye ncha kali katika…
Continue Reading....Vifo vya Watu 19 katika Ajali Singida Vyamgusa Rais Kikwete
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Singida, Perseko Kone kufuatia vifo vya watu…
Continue Reading....Halmashauri, Wadau wa Jiji Mwanza Waanza Maandalizi Siku ya Mtoto wa Afrika
HALMASHAURI pamoja na wadau toka mashirika na taasisi za kutetea na kulinda haki za watoto jijini Mwanza wameanza rasmi vikao vya maandalizi ya kuadhimisha sherehe…
Continue Reading....