Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 34

Category: featured

Watoto Nkasi Waajiriwa kwa Ujira wa Ndama kwa Mwaka

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Ajira kwa Watoto Nkasi, featured
Watoto Nkasi Waajiriwa kwa Ujira wa Ndama kwa Mwaka

Na Joachim Mushi, Nkasi BAADHI ya watoto Wilaya ya Nkasi, Mkoa wa Rukwa hasa maeneo ya vijijini wamekuwa wakiajiriwa na familia za kifugaji kwa ujira…

Continue Reading....

Vigogo Tanesco Wafikishwa Mahakamani, Yumo Mkurugenzi Mkuu

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Vigogo Tanesco mahakamani
Vigogo Tanesco Wafikishwa Mahakamani, Yumo Mkurugenzi Mkuu

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando na mkewe Eva Mhando, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam…

Continue Reading....

Upinzani Waibua Ufisadi Wizara ya Uchukuzi

Posted on: May 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Ufisadi Wizara ya Uchukuzi
Upinzani Waibua Ufisadi Wizara ya Uchukuzi

KAMBI rasmi ya upinzani bungeni imeibua ufisadi wa kutisha, kwamba Wizara ya Uchukuzi iliiagiza Mamlaka ya Bandari (TPA), ilipe gharama za sh milioni 11.164 katika…

Continue Reading....

Daladala Dar Zagoma Kwenda Mwenge…!

Posted on: May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Daladala Dar Zagoma, featured
Daladala Dar Zagoma Kwenda Mwenge…!

ABIRIA wanaotumia njia ya Makumbusho kuelekea Mwenge kutokea Tandika, Buguruni na Mbagala leo wameonja joto ya jiwe kwa takribani masaa kadhaa baada ya mabasi yanayotumia…

Continue Reading....

Uganda Yaongoza Vita Dhidi ya Utapiamlo

Posted on: May 26, 2014May 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Utapiamlo Uganda
Uganda Yaongoza Vita Dhidi ya Utapiamlo

  Na Ronald Ndungi, EANA, Arusha UGANDA inaongoza katika vita dhidi ya utapiamlo sugu na kuudhibiti miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki…

Continue Reading....

Ujenzi Mabondeni Waendelea Pamoja na Maafa ya Mvua Zilizopita!

Posted on: May 26, 2014May 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, wakazi
Ujenzi Mabondeni Waendelea Pamoja na Maafa ya Mvua Zilizopita!

Pamoja na notisi iliyobandikwa tarehe 13.5.2013, ikiwataka wabomoe majengo hayo. Wakazi hao wamepuuza notisi hiyo, na sasa nyumba hizo zimekamilika na wakazi wameshahamia. Mwandishi alishuhudia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari