Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 315

Category: featured

Kinachodaiwa Kumuua Mangwea Hiki Hapa

Posted on: May 30, 2013 - jomushi
Kinachodaiwa Kumuua Mangwea Hiki Hapa

WAKATI mazishi ya mwanamuziki marehemu Albert Mangwea (28) maarufu kama `Ngwair’ yakitarajiwa kufanyika mjini Morogoro, maeneo ya Kihonda baada ya mwili kuwasili nchini, hospitali iliyomfanyia…

Continue Reading....

Dk Magufuli Asema Hana Ubia wa Urais na Samuel Sitta 2015

Posted on: May 30, 2013 - jomushi
Dk Magufuli Asema Hana Ubia wa Urais na Samuel Sitta 2015

SIKU chache baada ya Waziri wa Afrika Mashariki Samuel Sitta kumhusisha Dk John Magufuli na kundi la urais la mwaka 2015, Waziri huyo wa Ujenzi,…

Continue Reading....

TGNP Yaendesha Warsha Mbeya Juu ya Namna ya Kuanzisha na Kutumia Vituo vya Taaifa na Maarifa

Posted on: May 29, 2013 - jomushi
TGNP Yaendesha Warsha Mbeya Juu ya Namna ya Kuanzisha na Kutumia Vituo vya Taaifa na Maarifa

Na Pendo Omary, Mbeya Vijijini MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umeendesha warsha ya siku mbili kuhusu namna ya kuanzisha na kutumia vituo vya taarifa na…

Continue Reading....

Tanzania Yakabiliwa na Changamoto Ulinzi wa Amani

Posted on: May 29, 2013May 29, 2013 - jomushi
Tanzania Yakabiliwa na Changamoto Ulinzi wa Amani

TANZANIA imesema shughuli ya operesheni za kulinda amani katika mataifa yenye mvutano wa kivita barani Afrika zinakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo upelekwaji wa wanajeshi na…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa

Posted on: May 29, 2013May 29, 2013 - jomushi
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa

   Mgeni rasmi Waziri Mambo ya Ndani nchini Dk. Emmanuel Nchimbi, Mwakilishi wa Shirika la Chakula Duniani nchini Tanzania (WFP) Bw. Richard Ragan na Kanali…

Continue Reading....

BREAKING NEWS Mwanamuziki Albert Mangwea Afariki Dunia

Posted on: May 28, 2013 - jomushi
BREAKING NEWS  Mwanamuziki Albert Mangwea Afariki Dunia

Msanii wa bongo flave Albert Mangwea aka ngwea amefariki dunia leo nchini Afrika Kusini japo mpaka sasa akijulikana nilichomtoa uhaki. -BBC

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari