Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 281

Category: featured

Mandela Aikoroga Afrika Kusini

Posted on: July 6, 2013 - jomushi
Mandela Aikoroga Afrika Kusini

*Mjukuu ataka Winnie, Graca wasiingilie ukoo *Askofu Tutu, Zuma, Makamu wa Rais waingilia SASA kuna dalili kuwa familia ya rais wa kwanza mweusi wa Afrika…

Continue Reading....

BancABC Waja na Huduma ya VISA Cash Card, Sabasaba

Posted on: July 5, 2013 - jomushi
BancABC Waja na Huduma ya VISA Cash Card, Sabasaba

Afisa Mahusiano wa BancABC  Sarah Pima akitoa maeleozo ya namna ya kutumia VISA Cash Card kwa mmoja wa wateja aliyetembelea banda la Bank hiyo lililopo…

Continue Reading....

Mahakama Yaelekeza Mazishi ya Mandela, Yaamuru Miili ya Wanawe Ifukuliwe Ikazikwe Atakapozikwa

Posted on: July 5, 2013 - jomushi
Mahakama Yaelekeza Mazishi ya Mandela, Yaamuru Miili ya Wanawe Ifukuliwe Ikazikwe Atakapozikwa

HATIMAYE vita iliyokuwa ikipiganwa ndani ya familia ya Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, kuhusu mahali panapostahili kuwa eneo la kuzikia miili ya wanafamilia…

Continue Reading....

Siku 27 za Mandela Akipigania Uhai Wake

Posted on: July 5, 2013July 5, 2013 - jomushi
Siku 27 za Mandela Akipigania Uhai Wake

MAMBO yanayofanyika katika maeneo matatu ya Afrika Kusini, Hospitali ya Medclinic alikolazwa, katika makazi yake Mtaa wa Houghton, Barabara ya Laan 12, Johannesburg na makazi…

Continue Reading....

FBI Waingia Arusha Kuchunguza Bomu la Soweto

Posted on: July 5, 2013 - jomushi
FBI Waingia Arusha Kuchunguza Bomu la Soweto

ASKARI wa Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI), tayari wapo Arusha kushirikiana na polisi ili kuchunguza tukio la mlipuko wa bomu la kutupa kwa mkono…

Continue Reading....

Rais wa Muda wa Misri Aapishwa

Posted on: July 4, 2013 - jomushi
Rais wa Muda wa Misri Aapishwa

JAJI Mkuu wa Mahakama ya Juu zaidi ya kikatiba ameapishwa nchini Misri kuwa rais wa muda baada ya jeshi kumng’oa madarakani rais aliyechaguliwa na raia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari