Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 263

Category: featured

Atakayechezea Mipaka ya Nchi yetu Kukiona cha Mtema Kuni –Kikwete

Posted on: July 25, 2013July 25, 2013 - jomushi
Atakayechezea Mipaka ya Nchi yetu Kukiona cha Mtema Kuni –Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa yeyote atakaye jaribu kuchezea usalama na mipaka ya Tanzania…

Continue Reading....

JK: Baadhi ya Vyama vya Ushirika ni Mkusanyiko wa Wezi

Posted on: July 25, 2013 - jomushi
JK: Baadhi ya Vyama vya Ushirika ni Mkusanyiko wa Wezi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa baadhi ya vyama vya ushirika nchini ni mkusanyiko wa wezi wanaokula fedha za…

Continue Reading....

Usafi wa Jiji ni Zoezi Endelevu -Meck Sadik

Posted on: July 25, 2013July 25, 2013 - jomushi
Usafi wa Jiji ni Zoezi Endelevu -Meck Sadik

HAYO yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Saidi Meck Sadiki Ofisini kwake katika mkutano wake na waandishi wa habari. Amesema katika taarifa…

Continue Reading....

Freeman Mbowe Aivimbia Polisi

Posted on: July 25, 2013July 25, 2013 - jomushi
Freeman Mbowe Aivimbia Polisi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alihojiwa tena na Jeshi la Polisi, lakini akaendelea na msimamo wake kwa kugoma kuwasilisha…

Continue Reading....

Benki ya Dunia Yaipa Changamoto Afrika Kuondoa Umasikini

Posted on: July 25, 2013 - jomushi
Benki ya Dunia Yaipa Changamoto Afrika Kuondoa Umasikini

BENKI ya Dunia imetoa changamoto kwa nchi za Afrika kuhimiza maendeleo endelevu ya ardhi ili kupunguza umaskini na kujiletea maendeleo. Ripoti ya Benki hiyo iliyotolewa…

Continue Reading....

Dereva wa Pikipiki Rombo Afariki Katika Ajali

Posted on: July 25, 2013July 25, 2013 - jomushi
Dereva wa Pikipiki Rombo Afariki Katika Ajali

Yohane Gervas, Rombo MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Siprian Kiwango, mwenye umri kati ya miaka 60-70 mkazi wa Shimbi amefariki dunia papo hapo baada…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari