Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 247

Category: featured

Waislamu Msikiti wa Mtambani ‘Wamteka’ Askari Polisi

Posted on: August 17, 2013August 17, 2013 - jomushi
Waislamu Msikiti wa Mtambani ‘Wamteka’ Askari Polisi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam BAADHI ya waumini wa Kiislamu Msikiti wa Mtambani Jijini Dar es Salaam jana wamemkamata mmoja wa askari wa Jeshi…

Continue Reading....

Mwl Mkuu S/M Makumbusho Awatolea ‘Uvivu’ Wazazi

Posted on: August 16, 2013 - jomushi
Mwl Mkuu S/M Makumbusho Awatolea ‘Uvivu’ Wazazi

Na Mwandishi Wetu, MWALIMU Mkuu wa Shule ya Msingi Makumbusho, Mwalimu Lyimo leo ameamua kuwapa ukweli wazazi wenye watoto wanaosoma katika shule hiyo, baada ya…

Continue Reading....

Namna ya Kuanza Siku Yako Vyema

Posted on: August 16, 2013August 19, 2013 - admin
Namna ya Kuanza Siku Yako Vyema

1) Amka kitandani mapema, kama unakuwia vigumu, “set an alarm clock” na uiweke sehemu ambayo huifikii ili uweze kuamka na kwenda kuizima. Vile vile unaweza…

Continue Reading....

TGNP Yafanikiwa Kuwatoa Wapangaji ‘Ving’ang’anizi’ Kwenye Jengo Lao

Posted on: August 15, 2013 - jomushi
TGNP Yafanikiwa Kuwatoa Wapangaji ‘Ving’ang’anizi’ Kwenye Jengo Lao

Na Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com Dar es Salaam MTANDAO wa Jinsia Nchini Tanzania (TGNP) leo umefanikiwa kuwaondoa kwa nguvu wapangaji ving’ang’anizi ambao walishindwa kesi ya kuligombea…

Continue Reading....

Juhudi za Dk. Mwakyembe na Dawa za Kulevya, Amnasa Rasta Akisafirisha Madawa Uwanja wa JNIA Dar es Salaam

Posted on: August 15, 2013 - jomushi
Juhudi za Dk. Mwakyembe na Dawa za Kulevya, Amnasa Rasta Akisafirisha Madawa Uwanja wa JNIA Dar es Salaam

JUHUDI za Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe za kupambana na dawa za kulevya nchini Tanzana zimeanza kuzaa matunda baada ya jana akiwa katika ukaguzi…

Continue Reading....

Ponda Ashtakiwa Tena Mahakamani

Posted on: August 15, 2013 - jomushi
Ponda Ashtakiwa Tena Mahakamani

KATIBU wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda amesomewa mashtaka ya uchochezi akiwa kitandani katika Taasisi ya Mifupa ya Hospitali ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari