WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda amesema angependa kuona Mkoa wa Tabora unakuwa mkoa wa mfano katika kushirikisha vijana kwenye kazi za uzalishaji mali. Alitoa…
Continue Reading....Category: featured
Bastola Nje Nje, Zauzwa Mitaani Nchini Tanzania
KUKITHIRI kwa rushwa miongoni mwa baadhi ya maofisa wa Jeshi la Polisi nchini, kumesababisha silaha ndogondogo hususan bastola kumilikiwa na watu wasio na sifa nchini.…
Continue Reading....Rais Obama Aomba Bunge Kuidhinisha Vita, Mandela Atoka Hospitali Akiwa Mahututi
HAIKUSADIKIKA kuwa Marekani itachukua hatua za haraka za kijeshi dhidi ya Syria, baada ya Rais Barack Obama wa nchi hiyo kuliomba bunge lake kuidhinisha shambulio.…
Continue Reading....Serikali Kutenga Bilioni 30 kwa Miradi ya Vijana
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imelenga kupata sh. bilioni 30/- ili zitumike kuendeleza miradi ya vijana kwa nchi nzima kwa shughuli za uzalishaji.…
Continue Reading....Shule Yazuia Wanafunzi Wake Kufanya Mitihani Kwa Kutolipa Michango
Shinyanga, Tanzania KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida robo tatu ya wanafunzi katika shule ya sekondari Uhuru iliyopo katika Manispaa ya Shinyanga wamezuiwa kufanya mitihani ya…
Continue Reading....