Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 208

Category: featured

Jukwaa la Wahariri Tanzania Lakutana, Lalaani Kufungiwa Magazeti

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Jukwaa la Wahariri Tanzania Lakutana, Lalaani Kufungiwa Magazeti

Kikao cha Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri kilichofanyika leo, Alhamisi, Oktoba 3, mwaka 2013, kimejadili uamuzi wa serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania. Wajumbe…

Continue Reading....

Wanakijiji Twabagondozi Wamuomba Pinda Mil. 660 za Mradi

Posted on: October 4, 2013October 4, 2013 - jomushi
Wanakijiji Twabagondozi Wamuomba Pinda Mil. 660 za Mradi

  WAKAZI wa Kijiji cha Twabagondozi wilayani Kibondo, Kigoma wamemuomba Waziri Mkuu Mizengo Pinda awasadie kuharakisha upatikanaji wa zaidi ya sh. milioni 660 ili waweze…

Continue Reading....

Mahafali ya 10 ya Shule ya Msingi Maktaba ya Jijini Dar es Salaam

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Mahafali ya 10 ya Shule ya Msingi Maktaba ya Jijini Dar es Salaam

Wahitimu wa darasa la Saba wa Shule ya Msingi Maktaba wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi wa mahafali yao ya 10 na viongozi…

Continue Reading....

Harusi ya Mdau Vicent Mnyanyika na Bi. Tatu Abdi

Posted on: October 3, 2013 - jomushi
Harusi ya Mdau Vicent Mnyanyika na Bi. Tatu Abdi

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa yao takatifu Kanisani” Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha…

Continue Reading....

Wazamiaji 130 Wafa Majini Wakielekea Ulaya

Posted on: October 3, 2013 - jomushi
Wazamiaji 130 Wafa Majini Wakielekea Ulaya

MAOFISA katika Kisiwa cha Sicily cha Bahari ya Meditarenia wamesema wamepata maiti 130 baada ya mashua iliyokuwa imewabeba wahamiaji 500 wa Kiafrika kushika moto na…

Continue Reading....

Rais azindua Gati ya Kisasa na Uwanja wa Ndege Mafia

Posted on: October 3, 2013 - jomushi
Rais azindua Gati ya Kisasa na Uwanja wa Ndege Mafia

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Oktoba 3, 2013 amezindua miradi miwili mikubwa ya maendeleo Kisiwani Mafia ambayo inamaliza kero za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari