Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 192

Category: featured

Simba Yazima Furaha za Yanga Ghafla Taifa…!

Posted on: October 20, 2013 - jomushi
Simba Yazima Furaha za Yanga Ghafla Taifa…!

SIMBA SC leo imetoka nyuma kwa mabao 3-0 na kupata sare ya 3-3 na wapinzani wao wa jadi, Yanga SC katika mchezo wa Ligi Kuu…

Continue Reading....

Wakulima wa Tumbaku Tanzania Kunufaika na Soko la China

Posted on: October 20, 2013 - jomushi
Wakulima wa Tumbaku Tanzania Kunufaika na Soko la China

KILIO cha wakulima tumbaku kuhusiana ukosefu wa soko pamoja na bei kubadilika kitamalizwa hivi karibuni baada ya zao hilo kupata kibali cha kuuzwa kwenye soko…

Continue Reading....

Zitto Kuongoza Jopo la Uchunguzi wa Uwazi Katika Kodi

Posted on: October 20, 2013 - jomushi
Zitto Kuongoza Jopo la Uchunguzi wa Uwazi Katika Kodi

  SHIRIKA la Kimataifa la Mtandao wa Ulaya wa Madeni na Maendeleo, European Network on Debt and Development (Eurodad) watafanya ziara ya kiuchunguzi kuhusu masuala…

Continue Reading....

Matukio Ziara ya Rais Kikwete Njombe

Posted on: October 20, 2013 - jomushi
Matukio Ziara ya Rais Kikwete Njombe

  Rais Jayaka Mrisho Kikwete akikagua  sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013  …

Continue Reading....

CCECC ya Nchini China Kujenga Reli ya Kati Tanzania

Posted on: October 20, 2013 - jomushi
CCECC ya Nchini China Kujenga Reli ya Kati Tanzania

  KAMPUNI ya ujenzi na uhandisi wa majengo ya China Civil Engineering Construction Corporation (CCECC) imesema iko tayari kuja Tanzania na kujenga upya reli ya…

Continue Reading....

Pinda Ataja Chanzo cha Watanzania Kujihusisha na Dawa za Kulevya

Posted on: October 19, 2013 - jomushi
Pinda Ataja Chanzo cha Watanzania Kujihusisha na Dawa za Kulevya

  WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema katika kipindi alichokaa ofisini na kushughulikia suala la dawa za kulevya amebaini kuwa tatizo la matumizi ya dawa hizo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari