Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 177

Category: featured

Lowassa Ataka Serikali ya JK Ifanye Maamuzi Magumu..!

Posted on: November 6, 2013 - jomushi
Lowassa Ataka Serikali ya JK Ifanye Maamuzi Magumu..!

Na Damas Makangale, Mhariri MOblog WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa  mara nyingine tena ameibuka na kauli ambayo aliwahi kuitoa huko nyuma ya viongozi…

Continue Reading....

WAMA, PRRR Kushirikiana Kutokomeza Saratani ya Shingo ya Uzazi na Matiti

Posted on: November 5, 2013 - jomushi
WAMA, PRRR Kushirikiana Kutokomeza Saratani ya Shingo ya Uzazi na Matiti

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (wa tatu mstari wa mbele kulia) ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya ujumbe kutoka…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atua Afrika ya Kusini, Azungumza na Rais Uhuru Kenyatta

Posted on: November 5, 2013 - jomushi

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa ndege wa Waterloof Air Force Base jijini Pretoria, Afrika ya Kusini Jumatatu Oktoba 4, 2013 tayari…

Continue Reading....

Makamu wa Rais Tanzania Azungumza na Viongozi wa Selcom Wireless Tanzania

Posted on: November 5, 2013 - jomushi
Makamu wa Rais Tanzania Azungumza na Viongozi wa Selcom Wireless Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na baadhi ya Viongozi wa Selcom Wireless Tanzania, Meneja Miradi wa Selcom,…

Continue Reading....

Lowassa: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa Hauna Meno

Posted on: November 5, 2013November 5, 2013 - jomushi
Lowassa: Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa Hauna Meno

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa amesema ana shaka kama Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Result Now), utafanikiwa kutokana na Kitengo cha Utekelezaji, Ufuatiliaji na…

Continue Reading....

DC Handeni Awataka Wananchi Kutumia Tamasha la Utamaduni Kutafuta Fursa

Posted on: November 5, 2013 - jomushi
DC Handeni Awataka Wananchi Kutumia Tamasha la Utamaduni Kutafuta Fursa

Na Mwandishi Wetu, Handeni MKUU wa wilaya Handeni, DC Muhingo Rweyemamu, amewataka wananchi wa Handeni, mkoani Tanga kulitumia Tamasha la Handeni kwa ajili ya kutafuta…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari