RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameirudishia Kampuni ya Nyamigogo Grand Vezir Holdings ya Mkoani Geita zawadi ya gramu 227 za…
Continue Reading....Category: featured
Mashindano ya Golf ya Kombe la Waitara 2013
Mh. Al Hajji Ali Hassan Mwinyi akimkabidhi zawadi na kikombe cha ushindi mshindi wa jumla wa mashindano ya golf ya Waitara Trophy Nevile Cory kutoka…
Continue Reading....UNIC Yazungumza na Wanafunzi Umbwe na Kibosho Sekondari
Na Mwandishi Wetu VIJANA wa shule za sekondari nchini wameaswa kuwa mabalozi wazuri pindi watakapomaliza masomo yao juu ya kuhamasisha utekelezaji wa malengo ya milenia…
Continue Reading....Bajeti ya Serikali Mwaka 2014 Ipunguze Vifo kwa Wajawazito
ZAIDI ya Wanawake 8,700 hufariki duni kila mwaka nchini Tanzania kutokana na matatizo ya ujauzito na hasa wakati wa kujifungua. Takwimu hizi zinaonesha takribani wanawake…
Continue Reading....Ajinyonga kwa Mtandio Chumbani Mwake
Yohane Gervas, Rombo MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Maria Evansi (42) mkazi wa Kijiji cha Kaswira, Nanjara Kibaoni, Tarafa ya Tarakea wilayani Rombo amekutwa…
Continue Reading....Manumba Aachia Ngazi Jeshi la Polisi, Mungulu Amkaimu
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), Robert Manumba amestaafu rasmi kulitumikia Jeshi la Polisi Nchini. Manumba amelazimika kuacha kulitumikia jeshi hilo baada…
Continue Reading....