Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 17

Category: featured

Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa Rombo

Posted on: July 20, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa
Waliouwa kwa Deni la Shs 9600 Wanyongwa Rombo

WATU watatu wakazi wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamehukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mauaji. Hukumu hiyo…

Continue Reading....

Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

Posted on: July 20, 2014July 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania, featured
Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish amevitaka vyombo vya habari nchini Tanzania kusaidia kupaza sauti dhidi ya vitendo vya uonevu na mauaji yanayofanywa…

Continue Reading....

Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mtandao wa Wanawake na Katiba
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

MTANDAO wa Wanawake na Katiba umevitaka vyombo vya habari kuacha kuyumbushwa na upepo wa kisiasa katika suala zima la kupigania mambo ya msingi kwa jamii…

Continue Reading....

JK- Kamwe Hatutatumia Nguvu mivutano na Majirani Zetu

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
JK- Kamwe Hatutatumia Nguvu mivutano na Majirani Zetu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa kamwe Tanzania haitatumia nguvu kumaliza mvutano kati yake na Malawi kuhusu mpaka kati…

Continue Reading....

Muhongo- Tumevuka Lengo Kusambaza Umeme Nchini

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Muhongo- Tumevuka  Lengo Kusambaza Umeme Nchini

SERIKALI imekiomba Chama cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010…

Continue Reading....

Wapelekeni Watoto Chini ya Miaka 5 Kupata Matone ya Vitamini A na Minyoo

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Chanjo ya minyoo
Wapelekeni Watoto Chini ya Miaka 5 Kupata Matone ya  Vitamini A na Minyoo

Na. Aron Msigwa – MAELEZO. Wito umetolewa kwa wakazi wa jiji la Dar es salaam hususan wazazi wenye watoto walio na umri chini ya miaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari