TANZANIA itakuwa nchi ya kwanza katika Afrika kunufaika na makubaliano kati ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) na Norway ambayo lengo lake ni…
Continue Reading....Category: featured
CRDB Yatoa Semina ya Ujasiliamali kwa Akinamama
Anthony Komanya, Shinyanga WAFANYABIASHARA wanawake wamekumbushwa kuitumia fursa ya uwepo wa Kitengo cha Kusaidia wafanyabiashara wadogo katika Benki ya CRDB kujisajiri kuwa Wateja na…
Continue Reading....Ushiriki wa Tanzania Kwenye Kongamano la TEHAMA la Dunia la ITU
Na Innocent Mungy – Bangkok Thailand TANZANIA inashiriki katika Kongano la TEHAMA la Dunia linaloandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linalosimamia Mawasiliano Duniani (ITU-International…
Continue Reading....Baba Mzazi Ambaka Mtoto Wake wa Kike wa Miaka Sita
Na Yohane Gervas, Rombo POLISI wilayani Rombo inamshikilia mtu mmoja anayefahamika kwa jina la Martini Shayo (71) mkazi wa Kijiji cha Mengeni Chini Wilaya ya…
Continue Reading....Kampuni ya Samsung Wagawa Zawadi kwa Wateja Walioshinda
Mshindi wa droo ya kwanza ya Pambikana Samsung Bw. Ally Abdallah akipokea zawadi ya Microwave toka kwa Meneja wa Samsung kitengo cha Simu na Teknolojia…
Continue Reading....Rais Kikwete Azitaka Nchi Tajiri Kutimiza Ahadi Kuhusu Mabadiliko ya Tabia Nchi
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amezitaka nchi tajiri na zilizoendelea duniani kutimiza ahadi zao za kutoa fedha kusaidia nchi masikini…
Continue Reading....