Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • featured
  • Page 135

Category: featured

Wanafunzi 411,127 Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2013

Posted on: December 28, 2013 - jomushi
Wanafunzi 411,127 Wachaguliwa Kujiunga Kidato cha Kwanza 2013

SERIKALI imetangaza idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza mwakani, huku 16,482 wakishindwa kuchaguliwa kutokana na uhaba wa madarasa. Wanafunzi hao ni kati ya…

Continue Reading....

Sherehe za Mahfali ya 9 Chuo Kikuu cha SUZA Zanzibar

Posted on: December 28, 2013December 30, 2013 - jomushi
Sherehe za Mahfali ya 9 Chuo Kikuu cha SUZA Zanzibar

[/caption] Wahitimu wa Stashahada ya Teknolojia ya habari, waliotunukiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti waa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, pia Mkuu…

Continue Reading....

Christ Embassy Tanzania Wasaidia Watoto Yatima wa SOS Dar

Posted on: December 28, 2013 - jomushi
Christ Embassy Tanzania Wasaidia Watoto Yatima wa SOS Dar

Na Mwandishi Wetu KANISA la ‘Christ Embassy Tanzania’ leo limekula chakula cha mchana pamoja na watoto yatima wa kituo cha SOS Children’s Villages cha jijini…

Continue Reading....

Samsung Yamkabadhi Rasmi Gari Mshindi wa Promosheni ya Pambika na Samsung

Posted on: December 27, 2013 - jomushi
Samsung Yamkabadhi Rasmi Gari Mshindi wa Promosheni ya Pambika na Samsung

MSHINDI wa droo kubwa ya promosheni ya Pambika na Samsung Bw. Juma Musa Ramadhan (46) amekabidhiwa rasmi zawadi yake ya gari aina ya Mitsubishi Double…

Continue Reading....

Watoto 15 Waingia Nusu Fainali Shindano la Vipaji, ‘MO Kids Got Talent’

Posted on: December 27, 2013 - jomushi
Watoto 15 Waingia Nusu Fainali Shindano la Vipaji, ‘MO Kids Got Talent’

Chief Judge wa Shindano la vipaji vya watoto na vijana wadogo la  “MO Kids Got Talent”, Salma Mziray, akitoa maoni yake kwa baadhi ya washiriki…

Continue Reading....

Picha za Tamasha la Krismas Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro

Posted on: December 27, 2013 - jomushi
Picha za Tamasha la Krismas Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro

Mwimbaji wa muziki wa injili, Rose Muhando akiimba katika Tamasha la Krismas lililofanyika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro likishirikisha waimbaji mbalimbali wa muziki huo hapa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari