Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Yohana Chance
  • Page 87

Author: Yohana Chance

Yanga Waleeee Wanaonekana Kwa Tochi

Posted on: April 16, 2016April 16, 2016 - Yohana Chance
Yanga Waleeee Wanaonekana Kwa Tochi

Timu ya Yanga imefanikiwa kurejea kileleni mwa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara baada ya kuifunga mtibwa Sugar kwa goli 1-0 kwenye mchezo wa leo…

Continue Reading....

Rais waSoka Ujerumani Apewa Jukumu la Kurejesha Uaminifu

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Rais waSoka Ujerumani Apewa Jukumu la Kurejesha Uaminifu

Reinhard Grindel amechaguliwa kuwa rais wa Shirikisho la Kandanda la Ujerumani – DFB, na kupewa jukumu la kurejesha uaminifu kufuatia kashfa iliyotokana na malipo ya…

Continue Reading....

Kipute cha Ligi Kuu Bongo Kuendelea Tena Kesho

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Kipute cha Ligi Kuu Bongo Kuendelea Tena Kesho

Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo minne kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini, huku kila timu ikisaka ushindi katika michezo…

Continue Reading....

Rais wa TFF Jamal Malinzi Amwaga Pongezi kwa Ravia

Posted on: April 15, 2016April 15, 2016 - Yohana Chance
Rais wa TFF Jamal Malinzi Amwaga Pongezi kwa Ravia

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amempongeza Ravia Idarous Faina wa kuchaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Soka Visiwani Zanzibar (ZFA)…

Continue Reading....

Simba SC Kushiriki Kombe la Nile Basin

Posted on: April 15, 2016April 15, 2016 - Yohana Chance
Simba SC Kushiriki Kombe la Nile Basin

Klabu ya Simba SC ya jijini Dar es salaam imethibitisha kushiriki michuano ya Kombe la Nile Basin Club Championship, inayoandaliwa na Baraza la Vyama vya…

Continue Reading....

Ratiba ya UEFA Yamkalia Vibaya Manchester City

Posted on: April 15, 2016 - Yohana Chance
Ratiba ya UEFA Yamkalia Vibaya Manchester City

Klabu ya Manchester City ya Uingereza imeepuka kukutana na meneja wake wa msimu ujao Pep Guardiola kwenye nusufainali ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya. Miamba…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari